Nimegundua mdogo wangu ana mahusiano ya kimapenzi na Mpenzi wangu

Mwache!Maumivuu yataisha,Utasahau.Na kuopoa Mwingine.Mbona wako wengi.Kila kitu kinatokea Kwa sababu.Chukulia kama funzo Kwa yaliyo kutokea.
 
Kufa waoane.
Piga kimya tafuta chombo kipya yaani pisi kali kuzidi muonyeshe mahaba ndi ndi ndi. Malipo ni hapa hapa duniani...sa we unataka kwenda wapi
 
Kwahiyo watoto ndiyo huwa wanakunywa sumu kwa sababu ya mapenzi? 😳
 
Amwachie dogo huyo mwanamke,yy ajipige kifua ahame pale kwao akapange huko, kwasababu ningumu kuharibu mahusiano nanduguyako kisa mwanamke,isitoshe huenda couple Yahuyo demu wake namdogo wake ikadumu kuliko yy,awe mpole Tu akubali kushindwa namdogo Ake, asiyekubali kushindwa sio mshindani!
 
Hapo atakua kamdhalilisha mdogo Ake!aondoke Tu hapo home aiseee
 
Ushauri Bora kabisa mkuu,mshikaji asipoelewa
 
Ushauri Bora kabisa mkuu,mshikaji asipoelewa nahapa daahhh,amwachie mdogo Ake awe busy namambo yake mwisho ahame hapo!
 
Pole sana kwa changamoto husika! Ni dhahiŕi kwamba, huyo mwanamke hakufai tena kwa sasa! Aidha, shukuru hilo umelifahamu mapenzi yenu yakiwa katika hatua ya kawaida!

Ushauri wangu, tafuta mwingine sahihi wa kuambatana naye, mind you, "ni rahisi kuchagua kibaya kwenye vingi vizuri, ila ni ngumu kuchagua bora zaidi katika vingi vizuri".

Chukua hiyo hali kama changamoto, na mara nyingi, changamoto ni fursa.
Cheers.
 
Ahsante Sana mkuu kwa ushauri wako
 
Nashukuru Sana mkuu kwa ushauri wako,nimeupenda Sana na nitaufanyia kazi
 
Mm nashauiri Bora tu Unywe Sumu Ufe.

Wanaume tumejitolea kuja Kukuzika maana umetuaibisha sana kwa Mawazo yako hayo
 
Achana na huyo mwanamke. Yes, siyo uamuzi rahisi kufanya lakini you have tu.

Na ni lazima ujue kabisa break ups zote huwa na maumivu makali, jiandae kisaikolojia.

Habari njema ni kuwa muda huponya, kubali kupitia hayo maumivu wakati una-heal.
 
Kama una uwezo wa kumhudumia manzi inakuwaje unakubali kugombania vitumbua na mdogo wako ndo maana na yeye kajiongeza
Ushauri anzisha ghetto mbali na kwenu na hutasahau kirahisi halafu acha uboya wa kuwa na dem mmoja utakufa siku si zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…