Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ushauli wako nni mkuu haswa juu ya hiliNi kweli kuwa ukipenda boga penda na UA lake lakini, huyo mwanamke si muaminifu na inawezekana kuna mengi nyuma ya pazia anayaficha.
Alitakiwa akueleze ukweli tangu mwanzo ili wewe mwenyewe ufanye maamuzi kama kuishi nae au la.
Chamsingi kaeni myamalize,msameheane lakini unatakiwa kumuonya abadilike kama kweli mnaipenda ndoa yenu.
Dawa ya ndoa ni msamaha.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nipo rafiki.I see you
Ushauri wangu hapo, ukae na mkeo mzungumze, umsamehe maisha yaendeleeKwahiyo ushauli wako nni mkuu haswa juu ya hili
Kwanza nikupe pole mkuu pili,ongea nae vizuri,kwa ukaribu na kwa upole umsome vizuri kisaikolojia ujue sababu kuu ya kukuficha ilikuwa nini na ujiridhishe vizuri uhusiano wa saa hizi kati ya mkeo na baba/wababa wa watoto wake,,,Lakini anawatoto wa wili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto, nimekuja kujua kama anawatoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu, upendo umedencrease from higher to lower point, naomba kuwasilisha ushauli wenu ni muhimu wadau. Akili ndefuuuuhttp://
Nimeshiba kwa huo ushauli, niliamua kumuacha lakini iliniwia ugumu maana tayari anaujauzito wanguNiende kwenye hoja
-kwanza msaidie kwa uwezo wako wote
-kaa nae chini mweleze kwamba una nia njema na yeye.
Ujue alikuficha coz alijua utamwacha, mtoe hofu kabisa.
Ukipata aliyezaa nayo ni neema kwa maana una uhakika ana uwezo wa kupata mimba na kuzaa.
Watoto wawili si hoja, kama umempenda songa mbele.
NB: 98% ya wake zetu, hatukuanza nao sisi, believe me!! Good luck.
Familia kuongezeka yaweza kuwa tatizo, lakini tatizo kubwa hapa ni kuaminiana, sidhani kama mtoa mada atamuamini huyo mkewe kama alivyokuwa akimuamini kabla ya kujua kuhusu hao watoto.Pole sana Mkuu sababu kwa usawa huu halafu itokee ghafla familia inaongezeka naona ni bonge la mtihani aiseee. Hapo hakuna jinsi kaa naye mjue namna ya kutunza hao watoto na sio kuchukua maamuzi ya kuachana sababu ndio wanavyofanya wanaume walio wengi pindi vinapotokea vitu kama hivyo.
Ila huyo mwanamke naye kiazi.
Mkuu usinune wala usi punguze mapenzi kwake,kila mtu ana Prokoto zake "In Baraka the Prince's Voice"huenda prokoto zake huyo mdada ni siri ,na protocal yako nikuweka vitu kwenye meza..Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuu
Kwani Mkuu ulipanga kuzaa nae watoto wangapi? Mf. Labda wanne je hao alionao wamepunguza idadi ya mayai sasa umepata wawili na bado unahitaji wengine wawili ndio unalialia. humu acha ujinga hao wake tafuta wakoLakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://