Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

Piga chini uyo mwanamke, wanawake ni wengi sana tafuta tu, ukiona km anawo watoto wanne afu bila ya kujulikana bwana ake wa mwanzo, ujue ipo tatizo apo,
Tafuta mke uzae naye watoto wako acha kudandia watoto wa wanaume wenzio.
 
mechi ishaanza na magori mawili....pole sana mdau
 
Ni kweli kuwa ukipenda boga penda na UA lake lakini, huyo mwanamke si muaminifu na inawezekana kuna mengi nyuma ya pazia anayaficha.
Alitakiwa akueleze ukweli tangu mwanzo ili wewe mwenyewe ufanye maamuzi kama kuishi nae au la.

Chamsingi kaeni myamalize,msameheane lakini unatakiwa kumuonya abadilike kama kweli mnaipenda ndoa yenu.
Dawa ya ndoa ni msamaha.
Kwahiyo ushauli wako nni mkuu haswa juu ya hili
 
Hapo ndo cjaelewa , nilee kama wa kwangu au maana watoto wanakaa kwao na mke wangu huyo
 
Niende kwenye hoja
-kwanza msaidie kwa uwezo wako wote
-kaa nae chini mweleze kwamba una nia njema na yeye.
Ujue alikuficha coz alijua utamwacha, mtoe hofu kabisa.
Ukipata aliyezaa nayo ni neema kwa maana una uhakika ana uwezo wa kupata mimba na kuzaa.
Watoto wawili si hoja, kama umempenda songa mbele.
NB: 98% ya wake zetu, hatukuanza nao sisi, believe me!! Good luck.
 
Lakini anawatoto wa wili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto, nimekuja kujua kama anawatoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu, upendo umedencrease from higher to lower point, naomba kuwasilisha ushauli wenu ni muhimu wadau. Akili ndefuuuuhttp://
Kwanza nikupe pole mkuu pili,ongea nae vizuri,kwa ukaribu na kwa upole umsome vizuri kisaikolojia ujue sababu kuu ya kukuficha ilikuwa nini na ujiridhishe vizuri uhusiano wa saa hizi kati ya mkeo na baba/wababa wa watoto wake,,,

Ushauri wangu sasa kama utajiridhisha pasi na shaka kuwa alifanya hivyo ili tu asikokose,,,,,,na pili kama pia utajiridhisha kuwa hakuna uhusiano na hakuna uwezekano kutokea uhusiano tena kati yao,,, na kama ni kweli unampenda kwa dhati kamili na yeye anakuoenda basi na kushauri mkuu huyu ndio umuoe kabisa ingawa mkuu umenipa wasi wasi uliposema kuwa upendo unaanza kudecrease alafu umesema unampenda hapo ndo nakushangaa,hivi mkuu unajua maana ya kupenda wew? Na sina hakika kama kwel unanpenda kwa dhati kamili

Tuchukulie mfano msanii diamond platinumz yule amempenda zari na hajajari zari alikuwa na wangapi na nawatoto wangapi yani zari anawototo 3 tena wakubwa tosha kabisa kuwa ni wadogo zake D lakin kwasababu D anaupendo na yule mwanamke hayo yote yeye hakuyajari mkuu sembuse ww tena watoto wawili na maisha yanaenda

Mwisho mwishoni,nafsi au roho nayo ni kitu cha kukisikiliza,na inabidi upime kuwa hali hiyo utaweza kuvumilia hadi uzeeni kwenu kama unaona nafsi itaweza usijiulize tena huyo ndo mwanamke atakae kufaa kwanza hyo hawezi kuangaika tena kwasababu ameshayapia hayo mambo ya duniani yeye atafikiria maisha na mtayajenga vizuri tu
 
ushauri wa nini tena, endelea kumpenda mkeo, kitanda hakizai haramu
 
Niende kwenye hoja
-kwanza msaidie kwa uwezo wako wote
-kaa nae chini mweleze kwamba una nia njema na yeye.
Ujue alikuficha coz alijua utamwacha, mtoe hofu kabisa.
Ukipata aliyezaa nayo ni neema kwa maana una uhakika ana uwezo wa kupata mimba na kuzaa.
Watoto wawili si hoja, kama umempenda songa mbele.
NB: 98% ya wake zetu, hatukuanza nao sisi, believe me!! Good luck.
Nimeshiba kwa huo ushauli, niliamua kumuacha lakini iliniwia ugumu maana tayari anaujauzito wangu
 
Pole sana Mkuu sababu kwa usawa huu halafu itokee ghafla familia inaongezeka naona ni bonge la mtihani aiseee. Hapo hakuna jinsi kaa naye mjue namna ya kutunza hao watoto na sio kuchukua maamuzi ya kuachana sababu ndio wanavyofanya wanaume walio wengi pindi vinapotokea vitu kama hivyo.

Ila huyo mwanamke naye kiazi.
Familia kuongezeka yaweza kuwa tatizo, lakini tatizo kubwa hapa ni kuaminiana, sidhani kama mtoa mada atamuamini huyo mkewe kama alivyokuwa akimuamini kabla ya kujua kuhusu hao watoto.
 
Mwanamke ana watoto nje teh...
Una uhakika ni wake lakini
 
unazijua mbio lakini...........sina mengi ya kusema
 
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,

Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,

Upendo umepungua from higher to lower point,

Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuu
Mkuu usinune wala usi punguze mapenzi kwake,kila mtu ana Prokoto zake "In Baraka the Prince's Voice"huenda prokoto zake huyo mdada ni siri ,na protocal yako nikuweka vitu kwenye meza..
 
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,

Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,

Upendo umepungua from higher to lower point,

Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://
Kwani Mkuu ulipanga kuzaa nae watoto wangapi? Mf. Labda wanne je hao alionao wamepunguza idadi ya mayai sasa umepata wawili na bado unahitaji wengine wawili ndio unalialia. humu acha ujinga hao wake tafuta wako
 
Back
Top Bottom