Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

Nimegundua mke wangu ana watoto wawili nje

Familia kuongezeka yaweza kuwa tatizo, lakini tatizo kubwa hapa ni kuaminiana, sidhani kama mtoa mada atamuamini huyo mkewe kama alivyokuwa akimuamini kabla ya kujua kuhusu hao watoto.
Kweli uaminifu kwa kiasi fulani utapungua mkuu ila kwa upande wa pili huyo mume anatakiwa alifikirie na hili swala la uhitaji wa ndoa kwa wanawake, huenda ikawa hiyo nayo ndio sababu ya mwanamke kuwa msiri ili apate anachohitaji ila baada ya hapo huenda angemwambia.
 
Kupenda boga na ua lake sio Sawa na mwanamke na mtoto wake ambaye sio chimbuko la Huyo mwanamke.
Tuacheni kupotosha kiswahili ili kuhalalisha uovu
 
Pole sana Mkuu sababu kwa usawa huu halafu itokee ghafla familia inaongezeka naona ni bonge la mtihani aiseee. Hapo hakuna jinsi kaa naye mjue namna ya kutunza hao watoto na sio kuchukua maamuzi ya kuachana sababu ndio wanavyofanya wanaume walio wengi pindi vinapotokea vitu kama hivyo.

Ila huyo mwanamke naye kiazi.
kiazi mbatata kabisa
 
Kweli uaminifu kwa kiasi fulani utapungua mkuu ila kwa upande wa pili huyo mume anatakiwa alifikirie na hili swala la uhitaji wa ndoa kwa wanawake, huenda ikawa hiyo nayo ndio sababu ya mwanamke kuwa msiri ili apate anachohitaji ila baada ya hapo huenda angemwambia.
Ni vizuri kuangalia mambo kwa mtazamo chanya lakini pia ni vyema kuangalia mambo katika uhalisia wake mtu asiumie mbele ya safari.
 
Ni vizuri kuangalia mambo kwa mtazamo chanya lakini pia ni vyema kuangalia mambo katika uhalisia wake mtu asiumie mbele ya safari.
Sawa Mkuu ila naona ameshakosea hakuna budi akaelewana na huyo mume wake nini cha kufanya, pia nina imani hili pia ni funzo pia kwa wengine wenye tabia kama yake ya kuficha ficha.
 
Kuna demu mmoja asee ana watoto 2 lakini huwezi amini bado yuko maridadi sana.chuchu bado imesimama hana kitambi hata kidogo kiuno kama siafu asee.aliniambia alizaa na mme wake wakaachana na mume akachukua watoto wote!mi nikawa nakula mzigo deile yaani hadi mashine bado inavuta balaa.nilikuwa namshangaa sana yule demu asee.mwisho wa siku ananiambia ana mimba yangu!nikamwambia we mtu mzima unanasa vipi mimba??!akanijibu nahitaji kuwa na mtoto wangu sasa hivi nikae nae mwenyewe utavyoona ila unaweza kupita hivi na sitakusumbua chochote!kimaskhara kweli amenipotezea kabisa na kuniblock kila sehemu nahisi mimba ina miezi mitano sa hivi.
 
Sawa Mkuu ila naona ameshakosea hakuna budi akaelewana na huyo mume wake nini cha kufanya, pia nina imani hili pia ni funzo pia kwa wengine wenye tabia kama yake ya kuficha ficha.
Na funzo kwa wote kupata mda mzuri wa kumfahamu mwenzio kabla ya kufunga ndoa/kuamua kuishi pamoja.

Kuna mambo ukiijipa muda na kupata watu sahihi utayafahamu kuhusu mwenzako kiliko kukurupuka na kuja kukupa "frustation" ukiwa ndani ya ndoa.
 
Shemela Nishakuju. [emoji23][emoji23][emoji23] pole.
Ila sio wawili tu. Ni watatu. Mwingine yupo kijijini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.ulikurupuka mno
 
Na funzo kwa wote kupata mda mzuri wa kumfahamu mwenzio kabla ya kufunga ndoa/kuamua kuishi pamoja.

Kuna mambo ukiijipa muda na kupata watu sahihi utayafahamu kuhusu mwenzako kiliko kukurupuka na kuja kukupa "frustation" ukiwa ndani ya ndoa.
Kweli kabisa mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,

Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,

Upendo umepungua from higher to lower point,

Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuu
Pole sana, wanawake wakiamua wanaweza bila kuwezeshwa,Afadhali wewe umekuja kuambiwa baada ya miezi minne.
Kuna jamaa ameoa mke na wana watoto wakubwa, mke ana mtoto wa kwanza na Mume hajui hata kidogo, namuonea huruma sana huyo mtoto maana hajawahi kufika nyumbani alikuolewa mama yake, anapata shida lakini msaada mdogo toka kwa Mama, na Huyo Mama anamchukia sana mtoto, hataki kumuona kabisa. Siku zote anaishi kwa Bibi akija mjini hafiki kwa Mama wakati Mama ana maisha mazuri sana lakini hamuhitaji na amemkana kabisaa.
 
Huyu mwanamke anakupenda sana, kukuficha kuhusu watoto aliogopa kukupoteza na inaelekea hana confidence na life.

Mueleze haya uliyoandika hapa na myamalize kwa mechi bora kabisa weekend hii.

Kumbuka duniani hakuna malaika na hata wewe una mapungufu yako.
Big up sana
 
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,

Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,

Upendo umepungua from higher to lower point,

Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://
Msaidie na mpe upendo Wa dhati mtoto Wa mwenzio ni wako
 
Ushauri wangu huyo mwanamke akufai achana naye maana unako elekea utajuata zaidi ya hili ulilo jionea bila kutarajia
 
Kama ni mimi hapo hakuna kuyamaliza wala nini nampiga chini,

Yeah nampiga chini watoto ninkitu kikubwa sana ilitakiwa niwe na taarifa toka mwanzo,

She is a killer huyo anaweza kukuua kama aliweza kuficha jambo kubwa na muhimu kama hilo kwa mustakabal wa ndoa yenu,

Alifikiria haitafahamika mwanamke huyo piga chini

Mkuu uko kama mimi, yani napiga chini mazima, wanawake wako wengi kwanini nkaangaike na gubigubi
 
Hakuwa muawaz kwako suala kama ilo alitakiwa akuambie mapema ujue unaliweka vp.....Dah pole kwa kutokumtambua mwanamke aliyebeba mimba Mara mbili na kunyonywa miaka kadhaaa....u mzembe wa kiwango cha lami...Tatizo ilidandia bila kupeleleza kwanza
 
Back
Top Bottom