ukipenda boga penda na majani yake.utaacha wangapi sasa.be strong manLakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuu
Familia kuongezeka yaweza kuwa tatizo, lakini tatizo kubwa hapa ni kuaminiana, sidhani kama mtoa mada atamuamini huyo mkewe kama alivyokuwa akimuamini kabla ya kujua kuhusu hao watoto.
uchumba miezi miwili atajua wapi history ya maisha ya nyuma?Hiyo ndo inaitwa kuingia kwenye MAHUSIANO bila kuwa na taarifa za msingi na muhimu za mwenzako, kwa sasa endelea KUSAIDIA maana watoto hawana makosa ndg
Pole sanaLakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto,
Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya matibabu,
Upendo umepungua from higher to lower point,
Naomba kuwasilisha ushauri wenu ni muhimu wadau.
Akili ndefuuuuhttp://