Nimegundua mpenzi wangu akiwa na marafiki zake, huwa ananiita mimi kimburu

M
Ni kabila gani huyo manzi yako ?
 
Kimburu kwa kiswahili cha mtaani ni paka asie na makazi maalum na asie na tabia nzuri na kazi yake kubwa ni kuvizia na kupora chakula kwa mfano kuvizia kuku akiwaona na kuwashambulia kwa ajili ya kula pia huvizia majumbani akiingia na kufunua masufuria na vyungu kutafuta chakula na muda wote utamuona hatulii anatazama kule na huko aidha anatafuta mawindo au akiogopa asije kudhuriwa kutoka na tabia zake mbovu alizonazo.Huyo ndo Kimburu.Mtu akikwita kimburu ni dharau kubwa sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…