Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu hafu watu watulivu ndio huteseka sana, In short bongo hii usiwe na moyo soft, people watatumia ka advantage ya kukuumizaSio tu kazin hata kwenye mahusiano usipokuwa mkali na msimamoo wa kiumeni na roho ngumuuuu utanyewa mdomoni
[emoji28]point japo umetutusi kdgo[emoji109]Sio watoto tu Tanzania hii ukiwa mstaarabu kuanzia kazini na mtaani utapata shida sana na mambo kukugomea ila ukiwa mkali mambo yataenda, na hata kazini ukiwa boss ukawa fair watakuharibia kazi dawa ni kuwa na roho mbaya watu watakuheshimu.
In short bongo watu ni ka punda hawaendi bila mjeledi