Sio watoto tu Tanzania hii ukiwa mstaarabu kuanzia kazini na mtaani utapata shida sana na mambo kukugomea ila ukiwa mkali mambo yataenda, na hata kazini ukiwa boss ukawa fair watakuharibia kazi dawa ni kuwa na roho mbaya watu watakuheshimu.
In short bongo watu ni ka punda hawaendi bila mjeledi