longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
Hivi kweli umeamini kabisaaa....tumedanganywa mamangu...Dah pole sana dear, cha msingi jipe moyo mkuu upone utoke kwanza hospital. . Ukishakaa sawa with time akili itakaa sawa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kweli umeamini kabisaaa....tumedanganywa mamangu...Dah pole sana dear, cha msingi jipe moyo mkuu upone utoke kwanza hospital. . Ukishakaa sawa with time akili itakaa sawa..
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia mm nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi tukiwa tunakiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mm na mume wangu
Je wewe ulikuwa unanyonya? Kama siyo basi inaweza kuwa ndio sababuMambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Tukiwa tunakiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mm na mume wangu ananiacha kazini kwangu yy anaenda kazini kwake najioni anapitia
[emoji28][emoji28]ulikosea sana kuzimia.....sasa unaonaje na sisi tukarudisha mashambulizi kwa bwana Putin.
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Kwamba mzee jipu unamaanisha anatupiga kamba huyu manzi?
We elewa hivyo bna maswali ya nini labda alijigeuza wakasikia 😂😂Duh!
Kwa hiyo ukazimia chini ya uvungu wa kitanda, halafu baadaye ukajikuta upo hospitali!
Ooh kumbe ni chai [emoji28][emoji28]Hivi kweli umeamini kabisaaa....tumedanganywa mamangu...