Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chai imeandaliwa na mwanaume wa darMambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Daaah!!! 🤣🤣🤣🤣🤣Ushapata nafuu kwanza kabla hatujakupa ushauri wa drip nyingine
Hahaha ....Nawe umekubali kuinywa hii chai na kitafunio cha matango?
Hahahahaaaaaa........😂😂😂😂😂Sema we nawe sijui unafeli wapi!!
Mahaba na mautamu wayafurahie wengine, kuzimia uje kuzimia wewe... wapi na wapi!!
Kilichokufanya uzimie wala sio "kushuhudia" live bali wivu wa kuona jamaa wana-enjoy kiwango cha SGR+... hapo ndo nongwa ikaanza!!
Sio vizuri hivyo...
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mm na mume wangu ananiacha kazini kwangu yy anaenda kazini kwake najioni anapitia tunarudi
Inaonekana we ni spika tu hujui kukamata mike vizuri na kuinyonya naibu wako anakuzidi matumizi ya mikeMambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Yaani kanichekesha sana huyu mwamba 🤣🤣🤣🤣[emoji28][emoji28]
😅Yaani kanichekesha sana huyu mwamba 🤣🤣🤣🤣
ulikosea sana kuzimia.....sasa unaonaje na sisi tukarudisha mashambulizi kwa bwana Putin.
Kwanza ilikuaje akasubiri mpaka wa do????😅
Hapo kwenye kuzimia ndo alitufunga kamba
Hahahha hapo sasa [emoji23]Kwanza ilikuaje akasubiri mpaka wa do????
😂😂🤣🤣🤣Hamna mtumishi wa Serikali hapo
Aisee!!!,Pole sana.Upo wapi nije nikupe maneno ya Faraja??.Au njoo Pm.Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Tukiwa tunatoka Asubuhi tunatoka wote mm na mume wangu ananiacha kazini kwangu yy anaenda kazini kwake najioni anapitia tunarudi
Ulisema ndoa yako ilkuwa na utulivu, mmeo alikujali, lkn ww ukaanza kuipekuwa sim ya mdada wa kazi ,hapo ndo ulipokosea kwann umfatlie mtu mambo yk bnafs,we ndo umevunja amani ?umeitafta shari, Shari umeipata, jilaumu mwenyewe, umelifunua giza lililo katika dunia yenye bahati na utulivu.Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.