Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Kuanzia hapa ndipo ulipozidisha sukari...
Basi wakaanza kufanya mapenzi jman mdada anavyonungunika kwa mahaba mume wangu maneno anayotoa jaman nilishindwa kutoka kule uvunguni nikajikuta nazimia sikujua Tena kinachoendelea nimekuja kujistukia nipo hospital, naamka namkuta mume wangu yupo pembeni yangu analia.
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu nakunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekalin kwaiyo nyumbani kwetu tunaishi namfanya kazi.
Eti mdada ananung'unika😂😂...
 
Hao ndiyo mahausigeli bwana,,,huko uarabuni nackiaga tu wanatabia ya kuwatongoza waume za watu,,but co wote.

Na wanaume ni wachache munoo waaminifu.
Na wanawake ni wachache munoo waaminifu.
 
Kitendo cha kusema mfanyakazi hutaki kumuona tayari umempa hatia yeye na kuonyesha kumpenda mumeo na kugundua hana kosa.

Usikilize moyo wako nini unataka, kama unaona bado unampenda msamehe, Jifunze kwa uliyoyaona kwa mfanyakazi wako na kuyasikia muongezee mmeo.

Furahi muishi kwa Amani, asilimia kubwa ya wanaume wanacheat kwa wake zao, lakini sio kwamba hawawapendi wake zao, ni Vichwa vyao vibovu tukisingizia nature yetu.
f41b4c175162a21b0f4b8bdd2057984f8c0a92e988e35fa1fdfe13bb62581e3c.0.png
 
Kama ni kweli we nawe ulibugi stepu

Ilitakiwa ukae kimya hvyo hvyo then unaenda nunua dwa za kutoa mimba( misoprostol)unakuja kumpa dada ameze unamwambia ni kinga dhidi ya corona

Baada ya hapo unamuamsha alfajiri anapaki kilicho chake unamnyang’anya na cm unampeleka mpk stend na unamlipa konda cha juu asishuke njiani. bora waje kutaftana badae

Yaani wewe ukamuachia kabisa amuondoe yeye je kama ndo kaenda kumpangia na chumba kabisa
 
Kabla cjakushauri naomba kujua haliyako ya sasa ili nijue nikushauri nini ....
 
Muongo huyo, mwanamke kweli angetoka uvunguni Mara tu mume wake alipoingia chumba Cha house girl.
Hii eti anasikilizia mume akinyonywa dushe Mara wanagegedana hiyo siyo kweli.
Chai imewekewa viungo vyote hiyo, yaani full tangawizi,mdalasini,limau.
 
Pole Sana dad

Ila kiukwel kama unamwandikia mumeo maneno Kama haya

Hushauri

Serekali

Binafs mdada akiandika meseji za aina hyo nakatika stimu kabisaa najua na chat na mtu wa darasa la pili

Samahan kwa hilo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la uchoyo, kwani mkishea dudu na dada wa kazi kuna tatizo? Tena mmeo anapunguza gharama za kuhonga, angalia sasa anaenda kumpangia apartment na anazaa nae.
 
Pole sana dada nakushauri angalia kwanza afya yako alafu tuliza akili wala usimulize uyo mwanaume chochote kile ww mwache tu iyo itakuwa ni adhabu tosha kwakwe na usiondoke hapo nyumbani kwakwe mana ukiondoka tu utakuwa nimempa uhuru wa kuinjoy na huyo house girl.utakuja kunishukuru siku moja kwa huu ushauri
 
Hii ni chai.. kwenye hii stori neno "basi" limerudiwa sana ni dalili ya kamba
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.
Takataka?
Si umuache uende zako na wewe ukafanye kazi za ndani
 
Back
Top Bottom