Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

Damn! ghahawa moto na karanga mbichi[emoji706]...upo uvunguni ukaona dada wa kazi anampokea kwa mahaba..eeh
 

Kutufanya watu wazima watoto,, hili jambo sijalipenda.
 
Ndo ukubwa huo ila sijaona sababu ya kuzimia maana hata mwanaume akifumania hua tunalipa kisasi na wewe ni wakati wa kujibu mashambulizi..
 
Kaupiga mwingi
 
Naona miguno ya mumeo wakati anakaribia kumwaga ilikuzidia hadi ukaona bora uzimie..pole sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mambo zenu, mimi nimeolewa sijabahatika kupata mtoto mume wangu ananipenda tu na kunijali pia. Mimi nimefanya kazi na mume wangu pia anafanya ya selekarini kwahiyo nyumbani kwetu tunaishi na mfanyakazi.

Hata Mume huna wewe
 
Ulikosea kuzimia, washauri ilibidi tujue mpaka miguno ya kileleni pole cute
 
Yaani mtu yuko uvunguni afu anaona jinsi osigelo ananyonya mshedede. Hii chai hata Shigongo hawezi kuichapisha kwenye gazeti la Uwazi
Alikuwa anachungulia na jicho moja kama mjisi kabanwa na mlango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…