Nimegundua na kujihakikishia asilimia mia moja kuwa mke wangu anajichua!

Hizi habari wapelekee wakwe zako hatuna cha kukusaidia.

Kwanza wakati unaoa hukutushirikisha
Asante ila umesahau hii mkuu 🤣
***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.
 
Yaani kufanya mapenzi na mumewe hataki ila anapenda hyo tabia... Hii kisaikolojia tunamtafsiri huyu mtu pasi na shaka yoyote ile,kwamba huu mchezo aliuanza kabla hajaolewa.

Nini kilisababisha afanye hivyo?

Hapa kuna mazingira mawili;

,kwanza huwenda alikuwa anabanwa sana kipindi amevunja ungonkiasi cha kushindwa kuhimili hali aliyokuwa akijiskia na hivyo kupelekea kufanya anachokiendeleza mpaka leo.

Pili huwenda mazingira aliyokulia kulikuwa na watu wa namna hiyo kwahivyo aliiga tabia za watu wengine. Kwasababu kisaokilojia wanasema kila kitu kina chanzo chake.

SULUHISHO;
namna za kutatua tatizo lolote lazima ukutane na mtaalam wa mambo hayo hasa madaktari au wanasihi waliobobea kwenye maswala hayo. Kwa kufanya hivo,majadiliano baina ya mtaalam yoyote kati ya hao na mkeo na kwa maelezo atakayoyatoa kwa mtaalam kwa ukweli na uwazi wote bila kufich chochote,nakuhakikishia atasaidika sana.

ONYO;

mkuu kama wewe huna utaalam wa unasihi wa aina yoyote usimfanye wala kumuuliza historia ya hicho anachokifanya labda kama unataka kuachana nae ndyo unaweza kufanya questioning yoyote kwake kuhusu hilo.
 
Acha ujinga wewe mgonge mkojolee basi hayo mengine mwachie mwenyewe usijiumize kichwa chako,
 
Tatizo la usagaji ni kubwa sana kuliko watu wanavyodhani haya masex toys ukiambiwa watu wanaonunua huwezi kuamini ni watu tunaowaheshimu tena wengi wake za watu, dunia imechafuka sana, mimi kuna mama mmoja nilikuwa nasoma nae chuo kuna siku bahati mbaya mkoba wake aliuweka vibaya nikaona bonge la bolo nikasema dah sasa huyu huyo mume wake si atakuwa anajisumbua tu kama mtu kazoea midude mikubwa namna ile
 
Pamoja na comments za kejeli naanza kupata maana, Asante sana mkuu. Nilikuwa na umuhimu wa kupost hili.
 


Humuandai mkeo vizuri apate hamu ya mapenzi, au labda wewe mchafu au kuna kitu au tabia yako labda umamuudhi au kuna kitu kinamfanya asivutiwe na wewe, hilo humsababisha asipate uteute au kunyegeka na kupata hamu ya kufanya mapenzi, na akifanya mapenzi bila kupata ashki au kunyegeka ni kama unamchubua na kumuumiza sana, hiyo hupelekea kukuchukia zaidi katika mapenzi…

Kwa tabia yako na uandishi wako hapa naona wewe unakuwa kama Polisi kwa mkeo au ni mtu wa kutoa command yaani police life style unaleta katika maisha ya mapenzi, hapo ushafeli, be soft kwa mkeo, be lovable, attractive kwa maneno, vitendo, usafi, tenderness is the key, take her out mara moja moja, tell her kuwa ni mrembo sana mara nyingi uwezavyo, msifie sana, mwanamke hapo atavutiwa na wewe sana na kunyegeka juu yako.

Acha kabisa kuchunguza kupita kiasi kwa mambo hata madogo, wewe unafikiri kupiga mashine tu ndio labda eti ataridhika, unaweza kukuta ndio unamuumiza zaidi sbb humuandai kisaikolojia na kimwili, sex is the final thing katika love making, ni baada ya ku set kila kitu kikawa sawa na kuwa arosed kisha unafanya sex..

Vijana wa sasa hivi mnaoa tu wala hamjui mwanamke ni kiumbe wa aina gani, shida inaanzia hapo, kama hujaelewa shauri yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…