Nimegundua na kujihakikishia asilimia mia moja kuwa mke wangu anajichua!

Nimegundua na kujihakikishia asilimia mia moja kuwa mke wangu anajichua!

Habari wakuu!

It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.

Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.

Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!

Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?

2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?

3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?

***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.

Wasalaam.

Mna watoto?
 
_20231202_162505.JPG
 
Mkuu shukuru anajichua,usimuache, imagine ungemkuta anapigwa mashine na kidume kingine?!!!

Kwa kawaida wa aina hiyo huwa kuchepuka na wanaume hawapendi pia,ila wasi wasi siku akija kujaribu usagaji atakolea kusagwa!!

NB- badili mbinu ya mechi,utaweza mmudu vizuri na akawa anashiriki kidogo akiwa "kazini na wewe"

Mfano piga show huku unapiga kinanda kisimi chake!!

Mpe sana romance mpaka uone anakaribia kufika ndio unaingia mzigoni.

Hakikisha anatangulia kufika kabla wewe!!

NB-tafuta njia ya kumfanya afurahie tendo la ndoa,huyo ni mkweo,usimuonee aibu na usimpe dhambi kwa tukio hilo,wewe ndio daktari wake.

Ama tuazime wadau tuone kama hatoenjoy!!
 
Kujichua ni ugonjwa wa Dunia.

Wewe hakikisha ukipiga mti hadi anafika kileleni.

Anakusaidia kazi, kumfanya mwanamke hadi afike kileleni ndio dawa ya hayo yote. Wala usijisikie vibaya.
 
¶¶¶Au hufiki kina mapenzi ndo maana ukaachwa matataani hufiki kina mapenzini¶¶¶
 
Huyo kuna possibility kubwa anachijua hata kabla ya ndoa..so imeshamathiri kisaikolojia na hiyo kitu kuacha itachukua muda...usimwache msaidie kuacha na kushinda hiyo tabia..Pia huyo hisia zake ziko mbali sana ,so hata husex Vip hawezi enjoy na hisia zake nyingi zipo kwenye clit hapo..unaweza mchezea vizuri kwa dgudyu yako hiyo clit au zama uvinza kabisa hapo lazima afike then ndio next uendelee na mambo yako ya sex utaona atakavyoenjoy..
 
Kujichua ni ugonjwa wa Dunia.

Wewe hakikisha ukipiga mti hadi anafika kileleni.

Anakusaidia kazi, kumfanya mwanamke hadi afike kileleni ndio dawa ya hayo yote. Wala usijisikie vibaya.
mwanamke anakupa uchi kwa sababu zote isipo kuwa upendo utapiga24/7 na hafiki, mwanamke akimpemda mwanaume hata kama ni crush akimuona anae mpenda tu chupi inaloa
 
Habari wakuu!

It has been looong time sijatupia visa vyangu so siwezi kumbuka niliongea lini kuhusu hili ila nakumbuka ni humu humu JF nilipost kuhusu kuwa namashaka na mke wangu kuhusu tabia ya kujichua. Mada ilikuwa inahusu mke wangu hapendi kufanya mapenzi, let me dig in nitaweka link hapa hapa.

Sasa katika kuendelea kumfatilia nikawa najinyima usingizi na kuzuga nimelala, siku moja nikiwa nafatilia nakuangalia pirika zote nikiwa mkimya kabisa nisigundulike kama niko macho na niweze kunasa kila kitu nikaanza kuziona pirika, mke wangu akajilaza chali akiwa kajifunika, kwa mkono mmoja akaanza kujichezea nyeti zake. Nakuhakikishia hakuwa akijikuna maana niliona, nilisikia na nilimuumbua nikajikoholesha kikohozi kikavu ajue kabisa nipo macho. Akashtuka na kujirudisha katika hali ya kawaida, mi nikajikausha tukalala.

Kesho yake nikam'bana akaniomba msamaha na kuniahidi hatorudia na kweli hakurudia kwa wakati huo ila juzi hapa ameanza upya kwa ukimya zaid nisijue ila nshaona kila kitu, she's still masturbate!!!

Kwanini naleta kwenu hili?
1. Mke wangu hapendi kufanya mapenzi sana, mashine napiga vizuri kabisa najiuliza kwanini apende kujichua?

2. Sababu ni mimi na je anaweza kuacha tabia hii?

3. Japokuwa kila mtu hupima makosa kwa namna yake nauliza kosa hili linafaa kumuacha?

***Mwisho, hapa tunapeana uzoefu tu kulingana na tatizo, muamuzi nitabaki kuwa mimi so don't panic, don't be emotional wala usitukane.... Jibu kulingana na uelewa wako.

Wasalaam.
Anacheza na clitoris huyo!!

Sasa wakati una wajibika jitahidi usiwe unaenda deep sana!!sugua clitoris Kwa kutumia fimbo Yako!sugua kweli kweli halafu deep mara Moja Moja!!

Nadhani!!anaweza furahia!wenzetu hisia zao zipo external na hapo kwenye G-sport!!

Extracted from Scientific point of view!!
 
mwanamke anakupa uchi kwa sababu zote isipo kuwa upendo utapiga24/7 na hafiki, mwanamke akimpemda mwanaume hata kama ni crush akimuona anae mpenda tu chupi inaloa
Uko sahihi kwa asilimia 60.
 
Humuandai mkeo vizuri apate hamu ya mapenzi, au labda wewe mchafu au kuna kitu au tabia yako labda umamuudhi au kuna kitu kinamfanya asivutiwe na wewe, hilo humsababisha asipate uteute au kunyegeka na kupata hamu ya kufanya mapenzi, na akifanya mapenzi bila kupata ashki au kunyegeka ni kama unamchubua na kumuumiza sana, hiyo hupelekea kukuchukia zaidi katika mapenzi…

Kwa tabia yako na uandishi wako hapa naona wewe unakuwa kama Polisi kwa mkeo au ni mtu wa kutoa command yaani police life style unaleta katika maisha ya mapenzi, hapo ushafeli, be soft kwa mkeo, be lovable, attractive kwa maneno, vitendo, usafi, tenderness is the key, take her out mara moja moja, tell her kuwa ni mrembo sana mara nyingi uwezavyo, msifie sana, mwanamke hapo atavutiwa na wewe sana na kunyegeka juu yako.

Acha kabisa kuchunguza kupita kiasi kwa mambo hata madogo, wewe unafikiri kupiga mashine tu ndio labda eti ataridhika, unaweza kukuta ndio unamuumiza zaidi sbb humuandai kisaikolojia na kimwili, sex is the final thing katika love making, ni baada ya ku set kila kitu kikawa sawa na kuwa arosed kisha unafanya sex..

Vijana wa sasa hivi mnaoa tu wala hamjui mwanamke ni kiumbe wa aina gani, shida inaanzia hapo, kama hujaelewa shauri yako.
🤝🤝🤝🤝
Wachache sn wako hivi unavyoelezea🙌
 
Back
Top Bottom