Nimegundua nikipasha chakula kwa microwave ladha hubadilika kabisa

Nimegundua nikipasha chakula kwa microwave ladha hubadilika kabisa

The Industry

Senior Member
Joined
Sep 1, 2012
Posts
117
Reaction score
30
Habari wandugu, aisee nahitaji kujua kama hili swala nimeliona peke yangu tu au? maana nimegundua chakula ni kikipasha kwa kutumia microwave ladha inabadilika kabisa, yaani kinakuwa kama kinakosa uhalisia wake hv, nimejaribu hata kula chips zilizopashwa kwa microwave zinakuwa mbaya mno zinakosa ladha kabisa.. Sasa sijui ni mimi tu au ni swala la kawaida..Nisaidieni hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wandugu, aisee nahitaji kujua kama hili swala nimeliona peke yangu tu au? maana nimegundua chakula ni kikipasha kwa kutumia microwave ladha inabadilika kabisa, yaani kinakuwa kama kinakosa uhalisia wake hv, nimejaribu hata kula chips zilizopashwa kwa microwave zinakuwa mbaya mno zinakosa ladha kabisa.. Sasa sijui ni mimi tu au ni swala la kawaida..Nisaidieni hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia pilipili hii itakusaidia kuongeza ladha, unaweza hata kula mawe ukitumia pilipili hii.
45763729_2809105029115059_1841042455894425600_n.jpg
 
Unapasha chakula ikiwa ina maana hakijapikwa muda huo, kilipikwa haukula bali ulihifadhi, so lazima kitakuwa kimepoteza uhalisia wake kwa kukaa muda flani hata kama uliweka kwenye friji........sina uhakika kama kupasha kwa microwave kuna effect ya radha.
 
Microwaving food, in effect, potentially destroys and depletes the life energy, rendering the food completely dead and lifeless. In addition, the food’s nutritional value is lost and it becomes nearly useless in terms of providing any real health benefit.

Hii nimeipata baada ya kuendelea kuhakikisha hili swala... kiukweli msosi unakuwa umekufa kabisa dead food unapoupasha kupitia microwave.. na ladha yote inapotea na hapa na maanisha msosi uliokuwa umepikwa vizur na kuiva vizur... Lakini sometimes mtu unaweza ukaacha chakula then ukakihifadhi ili utumie tena baadae, so ukikipasha fast kwa microwave ndio unakiua kabisaaaa.
Unapasha chakula ikiwa ina maana hakijapikwa muda huo, kilipikwa haukula bali ulihifadhi, so lazima kitakuwa kimepoteza uhalisia wake kwa kukaa muda flani hata kama uliweka kwenye friji........sina uhakika kama kupasha kwa microwave kuna effect ya radha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Microwaving food, in effect, potentially destroys and depletes the life energy, rendering the food completely dead and lifeless. In addition, the food’s nutritional value is lost and it becomes nearly useless in terms of providing any real health benefit.

Hii nimeipata baada ya kuendelea kuhakikisha hili swala... kiukweli msosi unakuwa umekufa kabisa dead food unapoupasha kupitia microwave.. na ladha yote inapotea na hapa na maanisha msosi uliokuwa umepikwa vizur na kuiva vizur... Lakini sometimes mtu unaweza ukaacha chakula then ukakihifadhi ili utumie tena baadae, so ukikipasha fast kwa microwave ndio unakiua kabisaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukikipasha kwenye jiko la mkaa au la kuni haukiui??

Ndio nilisikia mtu anasema maharage yakipikwa kwenye pressure cooker yanakua mabaya mara chakula ukikipika kwenye gesi kinakua kibaya sijui wali ukipika kwenye pressure cooker kinakua kibaya, watasema nyama ikiokwa kwenye oven inakua mbaya, lol

Huo muda wa kuwasha mikaa mnakua nao aiseee.
 
Na ukikipasha kwenye jiko la mkaa au la kuni haukiui??

Ndio nilisikia mtu anasema maharage yakipikwa kwenye pressure cooker yanakua mabaya mara chakula ukikipika kwenye gesi kinakua kibaya sijui wali ukipika kwenye pressure cooker kinakua kibaya, watasema nyama ikiokwa kwenye oven inakua mbaya, lol

Huo muda wa kuwasha mikaa mnakua nao aiseee.

Hivyo vyote ni kweli mimi nkipika mikate ya ufuta kwenye banners huwa sio mitamu zaidi kama ya kupika Na mkaa.

Hata mishkaki ya kuchomwa Na mkaa ni mitamu zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom