Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Nlikuwa nasoma Taurati/Torati. Ngamia pia ni Kharamu.... Anacheua lakini hana kwato. Ndiyo kwa mujibu wa Taurati mimi huwa nasoma vitabu hata vya watu wa Kitabu.
Hadithi na Mtume na Maswahiba wake nasoma. Biblia nasoma na napendelea sana Taurati... Kumbe Ngamia hana sifa za kuliwa. Kama Sungura,Kama Kambale kama Pweza. Pweza na Kambale hawa hawana Magamba. Ni kharamu.
Na nyama ya Nguruwe tunaruhusiwa kula pale tuna njaa na hakuna chakula kingine hapo karibu. Ila si mara kwa mara. No. Shida ya nguruwe ni kuwa ana kwato zilizochanywa ila hacheui. Hapo ndo shida. Lakini pia huwa anaoga matope. Hapo pia sasa naanza kuona hata Bata naye ana hizo tabia.
Anyway.... Naendelea kujifunza. Na pia nikawa nasoma vitabu vya Dini za kiafrika nako nikajifunza kuwa wamama wajawazito ni kharamu kula mayai, na pia kwa mujibu wao hata Albino kwao ni tatizo pia.
So naendelea kujifunza ndugu zanguni huku nikipata muda wa kutumia akili kutafakari. Nawaza pengine naweza kuna anzisha Dini yangu kutoka katika hizi Dinis zote zilizopo. Karibuni tushirikiane.
Wabillah Tawfiq.
Hadithi na Mtume na Maswahiba wake nasoma. Biblia nasoma na napendelea sana Taurati... Kumbe Ngamia hana sifa za kuliwa. Kama Sungura,Kama Kambale kama Pweza. Pweza na Kambale hawa hawana Magamba. Ni kharamu.
Na nyama ya Nguruwe tunaruhusiwa kula pale tuna njaa na hakuna chakula kingine hapo karibu. Ila si mara kwa mara. No. Shida ya nguruwe ni kuwa ana kwato zilizochanywa ila hacheui. Hapo ndo shida. Lakini pia huwa anaoga matope. Hapo pia sasa naanza kuona hata Bata naye ana hizo tabia.
Anyway.... Naendelea kujifunza. Na pia nikawa nasoma vitabu vya Dini za kiafrika nako nikajifunza kuwa wamama wajawazito ni kharamu kula mayai, na pia kwa mujibu wao hata Albino kwao ni tatizo pia.
So naendelea kujifunza ndugu zanguni huku nikipata muda wa kutumia akili kutafakari. Nawaza pengine naweza kuna anzisha Dini yangu kutoka katika hizi Dinis zote zilizopo. Karibuni tushirikiane.
Wabillah Tawfiq.