Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sisi ni wanafiki, tunamsakama mdudu huku tuna promote ulaji wa pweza, ngisi na ngamiaAisee sasa itakuaje kuhusu Biriani Ngamia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi ni wanafiki, tunamsakama mdudu huku tuna promote ulaji wa pweza, ngisi na ngamiaAisee sasa itakuaje kuhusu Biriani Ngamia?
Hivi kucheua na kupasuka kwato kunasababisha vipi mnyama kuwa safi kwa kula na kutopasuka kwato kunasababishaje mnyama huyo kuwa najisi?
View attachment 2449463
Mi nadhani yupo sahihi lakini iwe kweli kuna hali hiyo ya kwamba usipokula basi utapoteza maisha yani kwenye lugha ya kisheria tunasema necessityuislamu hakuna sehemu imesema ule nyama ya nguruwe unapokosa chakula ni uongo mkubwa