namba hazidanganyi! Africa is resistant to Corona virus ikiaminiwa kama si joto kubwa basi ni Melanin, waafrika wangapi wamekufa kwa Corona? wengi kati ya waafrica waliokufa kwa Corona walikuwa na magonjwa mengine makubwa na weak immune system Corona imewapiga teke tu, hatupaswi kupanic kama wazungu huu ugonjwa ni hatari sana na unatupata na tunausambaza ila si wa kusimamisha maisha yetu, yule mgonjwa wa kwanza bongo hakuambukiza mtu yoyote katika wote aliokutana nao tofauti na uzunguni huyu angeua mji mzima hivyo lockdown si lazima cha msingi ni kuwa na bajeti na timu maalum kuhakikisha inasimamia karantini kwa kila anaeingia bongo! wasio na uwezo wa hotel nashauri walipiwe na fedha ya umma because this is a public health problem si individual case na the fact is si kila msafiri anaeshuka bongo ana mawe sababu almost 90+ percent ya watu wako kwenye informal based economy! mtu anaetoka nje kabla hajapanda ndege anaweka bajeti ni ukweli kwa asie muajiriwa bajeti ya hotel ya wiki mbili za karantini hawezi kuwa nayo kwa hela za mawazo!! i speak from personal experience!
Corona virus is an invisible enemy who hits you severely but you cannot revenge or fight back!The global wealth that was created from sell of weapons, loan interests and low prices of goods from poor countries is going to be spent the same way it was created! nani kaelewa?
Ukifikiri sana utaona labda Corona ni adhabu toka juu sasa tujiulize wenzetu wa west walichomkosea muumba! je ni watu weupe kuwakandamiza kuwaibia na kuwabagua kuwanyanyasa na kuwadharau watu weusi ? je ni high interest loans to poor countries au kutupa low prices? au ni slave trade and colonialism? au ni kutuingilia mambo yetu? au ni ushoga, au ni kutengeneza silaha na kutuuzia watu weusi tuuane? au ni vita yao dhidi ya magaidi na uislam?
mi nawaza Corona si binadamu tu wanaisambaza hata wanyama wa nyumbani pets, upepo, birds, ambulances, majengo ya hospital , aircrafts na nguo za wahudumu wa afya wa Corona!!!sababu kuna wagonjwa wapya wa Corona walikaa zao home bila kuwa na contact na waathirika wala majengo yenye corona!!