Nimegundua udhaifu mkubwa sana wa Serikali ya Tanzania katika kukabili suala la COVID-19

Ok mbona viongozi hao hao ndio wanaovunja marufuku waliyoyaweka.Ina maana wametuhadaa sisi wananchi.Tutakapokusanyika tusione tukibughudhiwa kwa sababu nyie ndio mliovunja utaratibu.Kama kweli tupo makini na tunasimamia yaliyotolewa ya kutokukusanyika Makondakta amevunja amri hiyo na Mh.Mambo ni sasa amkamate mara moja bila kuchelewa tujue kweli mko serious na sio mnaigiza.
 
Hata watu wa Ulaya walikuwa wakiwaambia wachina maneno kama haya!
 
6. Serikali ilitakiwa by now iwe imesema ina vitanda kiasi gani kukabiliana na mlipuko, imetoa oda za vitanda vya dharura kwa kiasi gani ? Ina madaktari na wauguzi kiasi gani on standby kusupport mlipuko na je wameandaa budget ?
PPE za wauguzi wa afya zimeandaliwa kiasi gani? Je tuna viwanda vitakavyoweza kuanza mara moja kutengeneza locally mahitaji muhimu kama sanitizor, mask, gloves au hata jirani on ventilators?
Je kuna mafunzo ya haraka kwa wauguzi wote wa afya kuhusu nini kitatokea in worst case scenario?
Hospitali na vituo vya afya sasa wamejiandaa kiasi gani katika mapokezi ya mgonjwa yeyote, shida ni kuwa mgonjwa wa corona anaweza enda hospital akiwa hajui na atajulikana baada ya vipimo na hapo ameshafanya interaction ya kutosha?
Kwa watakao kuwa na hali mbaya tuko na ventilators ngp? Na je kwa hatua ya dharura tumeweka order ya ventilators ngp?

Tusimuachie Mungu ajibu haya maswali maana ametupa bongo. Yajibiwe kwa vitendo na kisha tuombe Mungu.

Wasalaam
Kajima
 
Lengo la hii mada ni hapo namba 4 tu
Wenzio buku saba akili hamna, huwa hawasogei kabisa nyuzi aina hii. Sasa wewe KIHARUSI umejitoa ufahamu ukajitumbukiza. Hizo NONDO kali na ambazo ni ukweli mtupu, unataka tuzipuuze, tuangalie upuuzi wa Makonda.
Ok, kama hoja ya mleta uzi ni namba 4, wewe hoja yako ni ipi hasa?
 
KORONA itaumulika na kuuanika wazi UOVU wa serikali ya Magufuli, na itatuweka huru. Magufuli tangu aingie madarakani ameonesha udhaifu mkubwa katika kushughulikia na kuongoza nchi wakati wa majanga. Kuanzia wakati wa tetemeko kule Bukoba, alipojificha sijui akihofia kitu gani, akaibuka aliposikia kuna mzigo wa kutosha wa rambirambi kwa waathirika, akasepa nao. Ameendelea kutonesha vituko mbalimbali kila linapotokea janga la kitaifa.

Kwa mafuriko ya mvua ya mwaka huu na hii KORONA, Magufuli atavuliwa nguo mbele ya watanzania
 
Nchi masikini kama Rwanda ilivyofanya lockdown so far umeshasikia wananchi wake wangapi wamekufa kwa kukosa chakula?

Au huko hua wanafanya kazi gani za kuwafanya wawe na saving ya wiki 2?

Mkuu kuna akili ndogo na kubwa zote kaumba maulana.

Ndogo ndogo haina haja ya kubishana nazo.

Ila lockdown kama alivyosema Ramaphosa haja. Tatizo ni lini. Ikija tukiwa tumechelewa mno athari zitakuwa kubwa zaidi.

Serikali pia wanajua hivyo kuna kitu tu wanaficha not sure yet -" what."
 

Mkuu, thubutu. Aipate wapi hiyo hoja?

Hawana lolote kelele kama mavuvuzela tu.

Akileta hiyo hoja nikuombe unistue.
 
Issue ya korona ni ya kisiasa mkuu, kwani huoni namna marekani anavyopambana na mshindani wake ?? wakitupiana mpira kuwa nani kauleta huu ugonjwa??

Hizi hoja za Facebook siyo huku mkuu.

Za hivi ni za kupuuzwa tu.
 
Hivi unajua kuwa stress inapunguza immune system ya mwanadamu?
Au na Hilo wafrika haitupati

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikaitahadharisha nchi yangu ninayoipenda sana Tanzania
 
Corona will not affect tanzania...
Neither cause a big tragedy like other European countries..

Do u know why?

Africans have a lot of problems more than corona.
Would you write the same comment today ?
 
Huyu kirusi alivyo na akili nyingi kama za kwako Hero, ataanza na wewe ili zikukae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tatizo umeeongelea kiTanzania zaidi wakati jambo hili ni "Pandemic" hivyo unapotaka ku stop cycle yake ni lazima uzingatie neno PANDEMIC
 
Issue ya korona ni ya kisiasa mkuu, kwani huoni namna marekani anavyopambana na mshindani wake ?? wakitupiana mpira kuwa nani kauleta huu ugonjwa??

Bado corona ni ishue ya kisiasa ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…