Nimegundua udhaifu mkubwa sana wa Serikali ya Tanzania katika kukabili suala la COVID-19

Huyu kirusi alivyo na akili nyingi kama za kwako Hero, ataanza na wewe ili zikukae sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Infinix, wanaonitakiaga mabaya wote mwishowe huwa wananyoosha mikono kwa kujikuta nakumbana na mema badala ya mabaya! Kwangu corona virus alipita na akatoka nduki bila kuaga zaidi ya mwezi uliopita, maana alijuta kujipendekeza kwangu! Wasiwasi wangu ni kwako kama akikupitia utaweza ku'survive'! Maombi yangu hicho kirusi kisikusogelee ww na watanzania wengine wote ambao bado kuambukizwa! Na wale walioambukizwa wasiugue bali kirusi ndio kisalimu amri, na kwa wale waliougua, wapone haraka na tuendelee kulijenga taifa!
 
Haya yalishasahaulika kwa sababu yalifanywa na mpendwa wetu... ndio unajiuliza hawa wanaopinga sasa kwanini hii mada hawakuitaka wakati ule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…