Nimegundua wafanyakazi wa Tanzania ni njaa sana

Nimegundua wafanyakazi wa Tanzania ni njaa sana

mchawi wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
830
Reaction score
898
Habari ya Jioni Jf, sina Mengi zaidi Nimekuja kugundua Wafanya kazi wa Tanzania wananuka Njaa Sana,yaani mshahara umechelewa kidogo kila mfanyakazi analalamika mara hivi mara vile.

Niwaombe nyinyi wafanyakazi mnao lia lia mjitahidi muwe na nyenzo zingine yaani literally uchumi kingine sio mnategemea msharaha tu.

Fungue biashara yoyote ile hapo mnanuka njaa je nchi ikiingia kwenye janga la kutokuwa na pesa hivi mtavumilia nyinyi achaneni na lawama.

Usiku mwema ukinuna wewe nuna.

Kikubwa tafuteni njia mbadala wa kuingiza pesa tofauti na kutegemea mshahara.
 
Screenshot_20240624-194642.png
 
Habari Ya Jioni Jf,sina Mengi zaidi Nimekuja kugundua Wafanya kazi wa Tanzania wananuka Njaa Sana,yaani mshahara umechelewa kidogo kila mfanyakazi analalamika mara hivi mara vile.
Niwaombe nyinyi wafanyakazi mnao lia lia mjitahidi muwe na nyenzo zingine yaani literally uchumi kingine sio mnategemea msharaha tu.

Fungue biashara yoyote ile hapo mnanuka njaa je nchi ikiingia kwenye janga la kutokuwa na pesa hivi mtavumilia nyinyi achaneni na lawama.
Usiku mwema ukinuna wewe nuna .

Kikubwa tafuteni njia mbadala wa kuingiza pesa tofauti na kutegemea mshahara.
Acha uchawi kila mtu na maisha yake,kwani waliogoma kaliakoo nao ni njaa,kata tiketi ukose usafiri utakubali kinyonge,maisha ni circle,ukipata wewe hunipi hata chembe,hivi unafikiri.
mikopo waloyo nayo wafanyakazi ni kitu kidogo,hata wewe inaonyesha kabisa mifumo wa maisha hauko sawa, mtumishi akiwekeza mnaiba,akifungua duka muuzaji anaiba,akinunua ardhi anaibiwa,ndio maaana mafisadi hawaishi,mtu anapiga kila mtu afe na chake,hata wafanyabiashara mmejaa ndumba mpaka mgogongoni,hii Nchi iko vita ya uchumi wewe endelea kulala.
 
Ni aibu kwa kweli, ndio maana huduma ni mbovu.
Yaani hata mwisho wa mwezi haujafika mtu analeta thread eti mshahara umechelewa hii inafikirisha sana.
Nimekuja kugundua ndio maana huduma kwenye taasisi nyingi za serikali hususani wizari, sekretarieti za mikoa na halmashauri ni mbovu.
Mfanyakazi anashindwa hata kuweka akiba sasahuyo ataweza kweli hata kufanya maendeleo binafsi kama hata kujenga nyumba kweli?
Yaani mshahara wa mtu unakuwa hands to mouth thing mmh ni hatari kwa kweli na pia inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom