incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Habari zenu wakuu
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,
Ivi mbona kila mtu nikiangalia Post zake naona kama hakuna wenzangu humu?
Yaani kila mtu utaskia "nilienda na gari sehemu fualani...
Mara mwingine utasikia "tulikutana ATM
Mwinge utasikia "kipindi nipo chuo kikuu nilifanya hivi...
Mara mwingine nae "Nilikuwa hotelin...
Bila kusahau mwingine nae "Nilikutana nae airpot.
Wengine nao "Nimeibiwa Dukani..
na mengine mengi
Jamani Sasa huu mgogoro wa nafsi inabidi leo niutoe
jamani yaani inamaana huku Jf mimi tu ndio muuza maji?
Mbona sijawahi kukutana na wenzangu tunaoenda kuwachek madem kwa baiskel na kuwapakiza?
Jamn mbona sisi tunaosafisha vyoo humu hatupo?
Jamani hata wenzangu tunao tunatembeza mihogo humu hatumo,
Sawa!
Swali jingine jamn inamaana humu Jf mimi tu ndio nimeishia form Two?..
Haya bora mi nilikimbia phiziksi kidato cha pili[emoji23] [emoji125] [emoji125]
Jamani ila mbona kuna wengine walipata ziro form four kwani humu hawafiki?
Mmmmh Hapana jaman mi nimechoka kuwa kenge kwenye msafara wa mamba...
Ndugu zangu wanazungumzia mambo ya hela afu mimi mwenyewe mfukoni sina hata jero jaman kweli?
Mungu anawaona nyie wote mnaodanganya Umma.[emoji23] [emoji23]
Hayawi hayawi sasa yamekuwa,
Ivi mbona kila mtu nikiangalia Post zake naona kama hakuna wenzangu humu?
Yaani kila mtu utaskia "nilienda na gari sehemu fualani...
Mara mwingine utasikia "tulikutana ATM
Mwinge utasikia "kipindi nipo chuo kikuu nilifanya hivi...
Mara mwingine nae "Nilikuwa hotelin...
Bila kusahau mwingine nae "Nilikutana nae airpot.
Wengine nao "Nimeibiwa Dukani..
na mengine mengi
Jamani Sasa huu mgogoro wa nafsi inabidi leo niutoe
jamani yaani inamaana huku Jf mimi tu ndio muuza maji?
Mbona sijawahi kukutana na wenzangu tunaoenda kuwachek madem kwa baiskel na kuwapakiza?
Jamn mbona sisi tunaosafisha vyoo humu hatupo?
Jamani hata wenzangu tunao tunatembeza mihogo humu hatumo,
Sawa!
Swali jingine jamn inamaana humu Jf mimi tu ndio nimeishia form Two?..
Haya bora mi nilikimbia phiziksi kidato cha pili[emoji23] [emoji125] [emoji125]
Jamani ila mbona kuna wengine walipata ziro form four kwani humu hawafiki?
Mmmmh Hapana jaman mi nimechoka kuwa kenge kwenye msafara wa mamba...
Ndugu zangu wanazungumzia mambo ya hela afu mimi mwenyewe mfukoni sina hata jero jaman kweli?
Mungu anawaona nyie wote mnaodanganya Umma.[emoji23] [emoji23]