Baada ya Liverpool wapi tena, Singida United au Mbao FC?Mimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.
Kama ndiyo hivyo basi arsenal ingekua haina shabiki hata mmoja.
Wee wacheki wanakonda Kama hawali lakini hawahami. !!!!!!!
Hahaha! Wewe sio mshabiki wa Mpira wa Miguu haswa EPL ,Maana utahamahama sanaMimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
watu kama wewe ni mashabiki "kanjanja", "poyoyo" au "maandazi"........
huwezi kulitatua tatizo kwa kulikimbia....utakuwa umeanza kushabikia mpira juz.......
nothng you knw abt fbal!
liva kaanza kupata mwanga baada ya uwekezaji mkubwa ndo unawatamani ? waulize mashabiki wa liva walivyokula msoto baada ya kuchukua ile UEFA baada ya kufanya come back ya maajabu....baada ya hapo hawakuwahi kushinda kombe la maana
...still mashabiki wakawa wapole na wavumilivu this time wanaonyesha mwanga unashoboka........
la mwisho man utd na liver ni rivals wa asili ktk EPL tangu enzi na enz......na huwa ndio mechi kubwa kuliko derbies ....kutokana na ukubwa wa mechi yenyewe huwa mara nyingi mechi ya man na liver inapewa ratiba ya mchana kwa sababu za kiusalama zaidi......
utashangaza wengi kutoka man utd na kuhamia liver
Nitaacha mke ila sintokaa niache kuishabikia man united.Mimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
mashabiki wa ukweli hawahami timu mkuu. ukiona hivyo wewe sio shabiki wa hiyo timuKuanzia leo na kuendelea
Kwa hiyo umeamua kuwa Korp kama mimi? Hautaunga kuhusu za Edwood?Mimi The Book nikiwa na akili timamu natangaza kuwa;Kuanzia leo nimeacha kushabikia Man United na kuwa nimeanza kushabikia Liverpool 'The Reds'.
Ahsanteni
View attachment 870368
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Karibu kiumeni mkuu. Kwa taratibu na swali lolote unaweza kuwaona wakuu hawa hapa chini watakusaidia
Cc: M-mbabe nyegere86 tycoonff Punainen Manga ML stormryder Omerta Gwamahala Jr Econometrician MASAMILA SHERRIF ARPAIO Malafyale King Ngwaba Penison SteveMollel Bengalisis
Asprin
Haha kweli asee nimemsahau Kop. Wewe nilikuona umechangia tayari ndio maana.Kuna kichwa umekisahau, kinaitwa MosDef.
Hicho kichwa hukikuti mahali pengine isipokuwa kwenye thread ya Liverpool tu.