Nimehama rasmi Manchester United na kujiunga na Liverpool

Nimehama rasmi Manchester United na kujiunga na Liverpool

Tuheshimiane aisee, mnatusema Arsenal kwani Man City kabla ya kununuliwa na waarabu walikuaje. Ilikuwa ni timu ndogo kuliko Aston Villa ya Birmingam
Hamnaga shabiki was mpira anahama timu,. Unaweza kuacha mke lakini siyo kuhama timu. Ni habari nyingine kabisa. Wewe siyo shabiki.
Kama ndiyo hivyo basi arsenal ingekua haina shabiki hata mmoja.
Wee wacheki wanakonda Kama hawali lakini hawahami. !!!!!!!
 
Nadhani huwa inaitwa Yorkshire derby
watu kama wewe ni mashabiki "kanjanja", "poyoyo" au "maandazi"........


huwezi kulitatua tatizo kwa kulikimbia....utakuwa umeanza kushabikia mpira juz.......

nothng you knw abt fbal!
liva kaanza kupata mwanga baada ya uwekezaji mkubwa ndo unawatamani ? waulize mashabiki wa liva walivyokula msoto baada ya kuchukua ile UEFA baada ya kufanya come back ya maajabu....baada ya hapo hawakuwahi kushinda kombe la maana
...still mashabiki wakawa wapole na wavumilivu this time wanaonyesha mwanga unashoboka........

la mwisho man utd na liver ni rivals wa asili ktk EPL tangu enzi na enz......na huwa ndio mechi kubwa kuliko derbies ....kutokana na ukubwa wa mechi yenyewe huwa mara nyingi mechi ya man na liver inapewa ratiba ya mchana kwa sababu za kiusalama zaidi......

utashangaza wengi kutoka man utd na kuhamia liver
 
Wiki ijayo Man Utd anacheza na Chelsea na Hyo game man anashinda
 
Sawa karibu tena Manchester united usione aibu kurudi siku Liver itakavyo fall apart tena siku c nyingi
 
Ni uamuzi mzr sababu hata man city siku hizi wanajaa vibanda umiza
 
Nlitaka kuhamia liva ila waliniudhi walinichania mkeka ilipocheza na napoli japo nlimpa goli moja mkononi fala sana nikaona ndo walewale..nkarjd zangu man u
 
Manchester United mtatoa watu roho[emoji18]
IMG-20181006-WA0006.jpg
 
Kuna kichwa umekisahau, kinaitwa MosDef.

Hicho kichwa hukikuti mahali pengine isipokuwa kwenye thread ya Liverpool tu.
Haha kweli asee nimemsahau Kop. Wewe nilikuona umechangia tayari ndio maana.

Hivi King Ngwaba huwa anachangia kwingine zaidi ya kule? [emoji23]

Naona kuna kadogo ka Arsenal kameanzisha ligi mle kanaitwa Aaron. Siwezagi kabisa kubishana asee
 
Back
Top Bottom