nimehama timu wazee..

Kwa kweli kati ya vitu huwezi kuhama ni timu.

Siku tukiwa vizuri utarudi tu. Ni suala la kuvumilia tu hakuna timu yenye mafanikio muda wote wa maisha yake. Kuna mapito kwenye timu zote kubwa duniani.
Kumbe wewe huwa ni mwanitesa😂
 
Mimi nilihamia Barca 2005 baada ya Fergie kumuuza Beckham niliyekuwa namkubali sana enzi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…