nimehama timu wazee..

Hama tuu kaungane na wenzako ambao wengi wao ni wasaliti wa timu zao za awali.
 
shabiki halisi wa mpira hawezi kuhama timu, kwani timu unayoipenda ni kama mpenzi wa damu, si rahisi kama kubadilisha kabila yaani haipo! !
 
shabiki halisi wa mpira hawezi kuhama timu, kwani timu unayoipenda ni kama mpenzi wa damu, si rahisi kama kubadilisha kabila yaani haipo! !
manchester sijaama mkuu au haujanielewa
 
ubongo wako waki Manchester United uache uko uko usituharibie team yetu
 
Kwa kweli kati ya vitu huwezi kuhama ni timu.

Siku tukiwa vizuri utarudi tu. Ni suala la kuvumilia tu hakuna timu yenye mafanikio muda wote wa maisha yake. Kuna mapito kwenye timu zote kubwa duniani.
mimi nimehama simba ikiwa na mafanikio nikaenda azam napo nikaona jau nikahamia Gwambina fc
 
ubongo wako waki Manchester United uache uko uko usituharibie team yetu
ahahahaha mkuu kwani umeanza kushabikia man city lini manake mashabiki wa man city wengi ni wa arsenal eti wanataka vikombe
 
ahahahaha mkuu kwani umeanza kushabikia man city lini manake mashabiki wa man city wengi ni wa arsenal eti wanataka vikombe
toka enzi robinho anaflop pale nilitoka nae Acmilan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…