Nimehamia kwangu

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
1,198
Reaction score
2,562
Nawasalimu....

- Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja

Samahani Sana huo Uzi hapo juu Kwa muda Sasa sijarudi na wengi najua mlikua na hamu ya kujua nimefika wapi.

Leo sitaweka details za pesa ilotumika ila Kwa ufupi Sana mwezi wa 10/2022 nilihamia kwangu nikiwa nimekamilisha Kila kitu kasoro choo Cha nje AMBAPO pia nilitegemea KUWEKA tank la juu Ili kusambaza maji hasa ndani (Kwa Sasa namtumia kisima)

Update za mwisho ntawaweke exel yenye gharama za msingi mpaka nahamia.

 
😍 hongera mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…