Nimehamia kwangu

Mi mwaka huu hauishi maana mefikia pazuri bila mkopo ila naona nasuasua sana sasa nazama NBC BANK nikamilishe
 
Hahahahah pambana mzeee
 
Hongera mkuu,imekutoka ngapi mpk hapo...?
 
ukiwa mungo uwe na kumbukumbu hii ndio post yako iliyopita unaanza ujenzi ukasema umemua kutumia tofari za kuchoma na utajengea tope tu ajabu ukatuonyeeha boma hili la tofari za block tukakuacha tu

Haya angalia ramani ya hili boma ulilosema umeanza kujenga na hii nyumba unayosema imekamilika ni vitu viwili tofauti maaa uku ndio mbele ya nyumba havifanani kabisa na hii nyumba ya sasa


Acha uongo
 
Very inspiring ngoja tuzidi kupambana hongera sana boss
 
Miongoni mwa kiumbe wa ajabu ni wewe pittia basi hata post zote ufiche ujinga wako next time jiongeze mkuu umeona upande mmoja wa nyumba
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…