Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
tatizo wana jf wote kila mtu anatoka dar! hata wanaotoka vigwaza, ngerengere, mkata, kisarawe atakuambia kwao masaki/mbezi/... wana sehemu ya biashara mliman city mara ooohhh dereva wetu anawazungusha watoto njia ndefu looohhh kazi kwelikweli