INAUZWA Nimehamishwa kikazi, nauza vitu vya ndani

INAUZWA Nimehamishwa kikazi, nauza vitu vya ndani

Kama una solar panel na Battery sema nikupe hela.
Ila kwanini hivyo vitu vingine usisafirishe Hadi huko uendako..?
Kisafirisha ni gharama sana mkuu safari yangu ni almost 1300km
 
Kwakua nilishawahi kuhama kikazi, siwezi mshauri mtu auze vitu, utauza kwa bei ya hasara na utanunua kwa bei ya juu, niliuza godoro nne za kampuni ya dodoma 5x6 inchi 8 kwa sh 50,000@ vitanda vya mbao za mninga 3 kwa 150,000@ mbinde ni pale nilipotaka kuvirudisha, nilijuta.

Tafuta magari ya mizigo wakubebee, usiuze.
 
Kwakua nilishwahi kuhama kikazi,siwezi mshauri mtu auze vitu,utauza kwa bei ya hasara na utanunua kwa bei ya juu,niliuza godoro nne za kampuni ya dodoma 5x6 inchi 8 kwa sh 50,000@ vitanda vya mbao za mninga 3 kwa 150,000@ mbinde ni pale nilipotaka kuvirudisha,nilijuta.


Tafuta magari ya mizigo wakubebee,usiuze
Nimetafuta kwa umbali ninaoenda wanataka laki 8, sina hiyo pesa.
 
Sofa 200,000
Tv solarmax 32" 250,000
Showcase 70,000
Cherehani mpya haijatumika hata maramoja 250,000
Magodoro matatu yote 250,000
Kitanda dabodeka 250,000
Meza ya jikoni 15,000
Friji 230,000
Mbona bei rahisi sana.Isije ikawa deal famba!!
 
Viache,vihifadhi sehemu ukijapanga unavirudia,pia angalia magari yanayoreta mazao,usikodi gari,
Naviacha wapi mkuu, hiyo gharama ya kuvitoa na kupelekea hapo nitakapoviacha si ni bora nivitoe nikaanze upya
 
Sofa 200,000
Tv solarmax 32" 250,000
Showcase 70,000
Cherehani mpya haijatumika hata maramoja 250,000
Magodoro matatu yote 250,000
Kitanda dabodeka 250,000
Meza ya jikoni 15,000
Friji 230,000
Hio Bei ya Tv la Kichina unauza Bei ya Hisense mkuu... Ushauri TV Brand za Aina hio mpya Kabisa zinauzwa 195k. Pinguza Bei upate wateja.
 
Kibugumo darajani, usimtupe mtu, kijiwe nongwa, kwa madadi, mzambarauni au!? 😂🤣
 
Back
Top Bottom