Umesoma andiko lake vizuri! Kasema kapoteza fedha nyingi. Ila nimemueleza kuwa kama haisiamami siamini kama nilipotaka kumuelekeza kunamfaa. Unaumwa si bure au utoto unakusumbuaHey tusichoshane!
Kwanini umtamanishe umempa hadi bei ili aone ni ndogo ashawishike?ungetaka kumpa msaada ungempa wigo mpana wa kukuchimba zaidi ili hayo yafikiwe lakini wewe kuanza tu na bei ya dawa umeshatangaza kwani yeye mleta mada aliuliza bei za dawa?
Namuona mmoja hapa anajaribu kutingisha mabega,nenda nao taratibu na kwa umakini sana.Nilishatapeliwa sana mwanzoni ila kwa sasa nipo makini ila nashukuru kwa ushauri wa kuongeza umakini zaidi
Daaaaa hapo kazi ipo. Ulitakiwa kurudi kwake mapema pale tu ulipoona tatizo inabidi utumie mbinu za kiintelligensia kumtafuta.Kibaya zaidi mkuu uyo mchepuko nilipita nae kimasihara tu yaani nilipita nae tukaachana na hatukuonana tena na sina mawasiliano nae
Sasa mimi na wewe ni nani hakusoma vizuri andiko la mleta mada?Umesoma andiko lake vizuri! Kasema kapoteza fedha nyingi. Ila nimemueleza kuwa kama haisiamami siamini kama nilipotaka kumuelekeza kunamfaa. Unaumwa si bure au utoto unakusumbua
Wengine wananiambia labda alikuwa mke wa mtu ko kawekewa password ndo nikanasa ila cha ajabu nmehangaika sana kwa wataalam imeshindikanaInawezekana uliyepita naye alikuwa pepo, aliyekuwamawindoni kukutege akijivika sura na umbo la mtu flani...
Alivyokuna tu, akapita hiviii========[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nilikutana nae getto, nilifanya na ndom ila ckujua kuwa ni mke wa mtuNikuulize swali moja, vipi ulikutana nae kwenye mazingira gani? Ulitumia condom? Kama ulipiga peku je alifuta sperm kwa kutumia kitambaa chale?, Sikia kama ni wife ndio kakufanyia sio rahisi kukaa yote miaka 3 huku anaelewa fika kakufanyizia, vipi huyo mwanamke mlikutana nae mazingira gani? Ulijua ni mke wa mtu?
Siwez kumfikia mkuu sina mawasiliano nae hata ivo simjui anapokaa tulikutana tu kitaaDaaah Pole sana Mkuu.
Kama ulikuwa fresh na tatizo lilikuja baada ya kuchepuka means huyo mwanamke uliyechepuka naye ndiyo shida ,atakuwa ametegwa na mme wake huyo ,hapo ni kumtafuta na kumueleza huwenda akakusaidia kwa kukupa ukweli maana kama ana tatizo hilo it means atakuwa na historia kwamba akitembea na mwanamme basi mashine inakuwa haisimami hapo utapata pa kuanzia.
Basi sawa, mpaka mtu akuroge ushindwe kusimamisha ni mpaka achukue sperm zako akazichezee, au ni tego ambalo Mme wake ameweka kwa mke wake.Nilikutana nae getto, nilifanya na ndom ila ckujua kuwa ni mke wa mtu
Mke wako ndio mwenye dawa yakoNaomba msaada uume wangu hausimami.
Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).
Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.
Natanguliza ahsante
Dah mkuu bahati mbaya Mimi siwajui wataalamu maana sijawai kwenda huko namuomba Mungu Lakini sio kwamba naweza fanya miujiza ikatokea, ushauri wangu ni 1. Uende kwa watumishi wa Mungu eg mwamposa Ukiwa umedhamiria kweli (japo Sina uhakika kama watu wanaponywa au wanaigiza) 2. Tafuta mganga konki sio wa kuambiwa funga safari nenda kigoma au sehemu yoyote huko labda unaweza kupata jawabu la shida yakoNifanyeje mkuu hapo nishauri