Nimehangaika sana bila mafanikio

Nimehangaika sana bila mafanikio

Hakuna kilichobadilika katika hiyo miaka 3. Ladha ya papa ni ile ile kwahiyo wala usihangaike hakuna jipya.

Ila nawaza nje ya mada, wife kavumilia miaka 3 yote bila dudu??
 
Dah mkuu bahati mbaya Mimi siwajui wataalamu maana sijawai kwenda huko namuomba Mungu Lakini sio kwamba naweza fanya miujiza ikatokea, ushauri wangu ni 1. Uende kwa watumishi wa Mungu eg mwamposa Ukiwa umedhamiria kweli (japo Sina uhakika kama watu wanaponywa au wanaigiza) 2. Tafuta mganga konki sio wa kuambiwa funga safari nenda kigoma au sehemu yoyote huko labda unaweza kupata jawabu la shida yako
Ahsante mkuu kwa ushauri
 
Naomba msaada uume wangu hausimami.

Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).

Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.

Natanguliza ahsante
Duh pole mkuu
 
Naomba msaada uume wangu hausimami.

Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).

Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.

Natanguliza ahsante
Mkuu una umri gani kwanza
 
Naomba msaada uume wangu hausimami.

Iko hivi; nilikuwa vizuri napiga show kawaida na nilibahatika kuoa na kupata mtoto mmoja, shida ilikuja siku nilipiga mechi ya ugenini(nilichepuka) toka siku hiyo hadi sasa yapata miaka 3 uume hausimami nimejaribu kwenda kwa wataalam mbalimbali nimeishia kupoteza pesa kuna watu walinielekeza kwa baadhi ya watu wa tiba asilia nmeishia kupigwa na kitu kizito kichwan (wamenitapeli).

Ndugu zanguni naombeni msaada nifanyeje au niende wapi kwenye uhakika wa kutatua tatizo langu.

Natanguliza ahsante
Umeshajaribu kwenda hospital yoyote kubwa kupata msaada wamadaktar bingwa au physician
 
Inakuwa hivi,kuna baadhi ya wanawake wana mapepo,yale mapepo yanakuwa yamefunga nao ndoa bila ya wao kujua,sasa ukitembea nae yanachofanya ni kukutenda kwa makusudi ili usirudie tena au kukukomoa,nenda ukaombewe kwa watumishi wa Mungu wenye upako,utapona na utakuja hapa kunishukuru,ila ukipona usirudie tena lisije likakupata jambo baya zaidi....
 
Back
Top Bottom