Laiti tatizo la
Kwa bahati nzuri nimeongea naye anayetoa dawa kasema anaweza kumsaidia. Kutokana na umuhimu wa mimi kutotaka kujulikana kama masharti ya JF yanavyotakikana. Nitamuomba Muha wangu
Joannah anisaidie kwa hilo. Nakuhakikishia huyu jamaa anatumia dawa za kiasili kutibu migongo.
Kwa taarifa yako, Kuna mkubwa fulani mzanzibari aligombea hadi urais na JPM akawa kati ya 5 bora alishafanyiwa operation 5 India lakini within two weeks kapona. Hata mie aliniponyesha mgongo ulonisumbua tangu 1998. Ana dawa nyingi lakini hatakli kujitangaza. Yeye ni mtawa wa RC, halafu watu ati nataka kupiga. Very disgusting maana hawajui jinsi mwanaume unavyonyanyasika isiposimama au kupiga kimoja chali. Imagine Mtu kama akina
To yeye na bamia zake ukimweka kimoja tu!!!! Ref
Bamia ni muhimu wadada wenzangu!