Nimeharibiwa week-end yangu.... lol!

Sasa Teamo na wewe unataka kunichekesha manake mimi kutoka na watu hovyo sipendelei hata kidogo mwenzio nalea kichanga n aistoshe wa kumoyo nampenda MUNGU ile mbaya. Lol hakuna wakucompete na G'y

comeon swiriii....!achana na habar za kichanga au hubby wako!...hata kwangu wapo.....!

a point to note is i love you....!i jst feel lyk hanging out with you and enjoy every fun...!gv me a chance...once and once only....!there is no way u gonna regret...!

just say yes for me baby!...i ws born to make you happy
 
Last edited by a moderator:

unajua hapa ndo watu wanapoona tabu ya maisha humu duniani, umesoma kwa tabu, kazi unafanya kwa tabu halafu jitu linakunyima haki yake kwa sababu binafsi. nimemweleza mwalimu mwenzangu kaniambia areaz subiria kulipwa mwaka 2015
 
dar!pole mumy na wa hivi wengi wao wana mdudu(HIV).kazi kuwaza ngono tu.mm huwa nawanyeshea mvua ya matusi haniangalii mara2.
 
[/QUOTE

unachosema pia nakubaliana nacho , lakini hebu jiulize mbaba kama huyu kwa swala nyeti la kiofisi kwanini aweke na mtongozo? tena mwl wa watu huwa niko simple sana sijazoea kuyaona haya anyway labda kwakua siingii ofisi nyingi za watu[/QUOTE]

Kutongoza nayo ni fani! Sio wote wanaojua kuandaa mistari! Lakini pia inategemea wewe ulikuwa umekaakaaje! Mavazi, upodozi ma hata kujichekeshachekesha nk. Inawezeka umemwingiza mzee wa watu majaribuni! Jipange uende jumanne lakini angalia ulivyo na ikibidi tumia akili yako. Kama ni mtu wa kutongoza kila sketi basi huyo ni rahisi sana kupata unachokihitaji!
 
Pole @gfsinwin mtu akiwa kwenye madaraka fulani anataka kuyatumia kujinufaisha kwa tamaa wanakera sana

kwenye semina elekezi alikuwa amesinzia wala hakumbuki mkuu wake JK aliwaaeleza nini
 
Ngekewa nimemchukia kwa kua najua mwishowe ni kutumia cheo chake kinaniumiza. asipo sain barua zangu nabaki na cheo kikubwa mshahara wa cheo cha chini

Ulipoanza kutowa sifa za huyo kiongozi ndio ulipoharibu mambo. Cheo kilitutosha lakini ulipoanza kusema kuwa pengine angekuwa vyenginevyo ndipo tulipotambuwa kuwa tatizo ni mtongozaji.
 

To me that is big no............. if you were born to make me happy where, were you till i came to this point?
au ndo wewe bosi mwenyewe?
 
Hivi kweli kuna kutongoza kidogo na kukubwa?

Kutongozwa kidogo mwanaume anafanya kama jaribio tuu ukiingia king anapiga anakimbia,
kutongozwa sana haupumua inaweka zana zoote hapo mpaka akupate!
 
Pole @gfsinwin mtu akiwa kwenye madaraka fulani anataka kuyatumia kujinufaisha kwa tamaa wanakera sana

kwenye semina elekezi alikuwa amesinzia wala hakumbuki mkuu wake JK aliwaaeleza nini
Blaki Womani nimejiuliza mengi sana, hivi hadi astaafu atakuwa ameshikilia haki za wangapi kwa cheo hiki? binafsi naangalia upepo. nikiona sipati haki yangu naenda kudai kwa stail tofauti kabisa.
 
Last edited by a moderator:
To me that is big no............. if you were born to make me happy where, were you till i came to this point?
au ndo wewe bosi mwenyewe?

please mamito.....!

try to understand my cituations!...the thing is "i love you"...!let's put our pasts aside...!una history yako...i hve mine too....!just take me as i am...now!i lv u!...and the reason is love!....comeon swiriii...
 
dar!pole mumy na wa hivi wengi wao wana mdudu(HIV).kazi kuwaza ngono tu.mm huwa nawanyeshea mvua ya matusi haniangalii mara2.
GALIMA nimewaza mengi sana leo, penyewe hapo mimi ni mwl, na yapata miezi kama sita hivi sijaongezewa salry licha ya kuandika barua zisizo pungua 4. leo nakwenda ili kujua status nakutana na haya sasa kweli hii haki yangu nitaipata au ndo niache tu.

Hivi kwani wenzangu huwa wanafanyeje wnapokutana na hali hii katik ofisi zao? nilihofia kumtusi asije sema nina nidhamu mbaya nikashangaa na kazi yenyewe nimesimamishwa.
 
Last edited by a moderator:
please mamito.....!

try to understand my cituations!...the thing is "i love you"...!let's put our pasts aside...!una history yako...i hve mine too....!just take me as i am...now!i lv u!...and the reason is love!....comeon swiriii...
Teamo wewe kaa pembeni kwanza au nipe maujanja ya kumuweza huyu bosi manake mwenzio snalipwa mshahara wa cheo cha nyuma kwa miezi sita sasa.
 
Last edited by a moderator:
please mamito.....!

try to understand my cituations!...the thing is "i love you"...!let's put our pasts aside...!una history yako...i hve mine too....!just take me as i am...now!i lv u!...and the reason is love!....comeon swiriii...

aah mkuu haujaacha tuu!
duuu!
 
dubu utayasema hayo kama siyo mwanamke unayejipenda na kujiheshimu, pia sili mali za dhuluma mwenzio.
Nikisema nitembee nae nitafanya hivyo kwa wanaume wangapi, mara ngapi ili nipate nini? ninayo miaka kama 25 hivi ndipo nistaafu sasa ndani ya miaka hii naweza kuhamishwa kituo au anaweza kuhamishwa je nitaendelea kuvua? ina maana uwajibikaji wangu hauwez kunisimamia nipate haki yangu hadi nivue chupi?
 
Last edited by a moderator:
unajua hapa ndo watu wanapoona tabu ya maisha humu duniani, umesoma kwa tabu, kazi unafanya kwa tabu halafu jitu linakunyima haki yake kwa sababu binafsi. nimemweleza mwalimu mwenzangu kaniambia areaz subiria kulipwa mwaka 2015

Tatizo dada yangu ukishajijengea utaratibu wa kutoa ngono ili ufanikiwe itakuwa ndio tabia yako..please piga vita hii tabia na itafute haki yako kwa njia sahihi. Bahati mbaya kuna wanadada wamefanya huu ndio mpango wao, na hii inapelekea wanaume kuwajaribu wanawake kwa njia hii ili kuona kama ndio walewale..
 
SnowBall nakubaliana na wewe kabisa. Lakini pia mimi ningeshauri ofisi ziwe zinajengwa na kuekewa vicamera kama vya bennki ili kuweza kujua kinachoendela ndani ya ofisi manake kweli wanawake wengi tunadhalilika, istoshe wapo wengine wanaangukia kukubali kwasababu ya shida mtu.

mfano, mtu labda ni mwl na toka uanze kazi labda ni miezi 4 na hujapewa salary ukienda ukakutana na situation kama hii ukweli utaanguka dhambini. Kimsingi hasa sisi waalimu ni mateso sana watawala wanatutesa sana
 
Last edited by a moderator:

hivi dubu wewe ni yule dubu wa slabu pale foe???????????
 
Last edited by a moderator:

Unachosema ni kweli kabisa dadaangu!..Lakini kama nilivyosema kwenye post yangu nyingine..mnaowapa kiburi hawa wakware ni nyie wenyewe wanawake..mfano wewe utakataa wenzako watakubali kisha watakusema. Kwa mantiki hii hata ukiweka hizo 'camera' hazitasaidia sana. Wako wanawake wengi ninowafahamu kwenye ofisi za umma waliwakatalia mabosi wao ngono na wala hawakufukuzwa wala nini..na wako wengine pia huu ndio mtindo wao..they use their femininity as a hook'. Ni vita ngumu but it should start with you to say NO!
Kudhalilika kwa kufanyiwa 'sexual harrasment' ni kosa kwa mujibu wa sheria za TAKUKURU. But how to justify it ndo imekuwa ngumu..as so many people fear about their destiny hasa kama inatokea unaendelea kufanya kazi kwenye the same office!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…