Nimeharibiwa week-end yangu.... lol!


sasa hapo siunona ww ulikuwa na ipod hapo, haya mimi nina kicm changu tu na pia nkitaka hata kurekodi sauti hakina namna labda nitafute iyo j4 niende nayo, niiweke on kabisa. umenipa akili pia.
 
Sasa hii ndio yamekukuta?..... JF bana!

Mwenzio juzi kabakwa bila kondom bahati nzuri yeye ndio alikuwa na HIV, wabakaji karibuni wataanza kuishi kwa matumaini. kulaleki!


Heheheh klorokwini bana....
 
Dah,Hongera sana ,umeshinda vishawishim,tehe
 

Pole sana mpendwa......mie pia sijui mambo ya sheria labda kama kuna mwana jf anaweza kukusaidia kwa hili atakusaidia.....nenda hiyo j4 huku umeweka thura ya kazi labda ataogopa kukugusia tena lol....
 
Pole sana Dear, Wewe nenda kama alivyokuagiza J4, Nadhani na yeye ni muelewa. Alivyokutongoza alijaribu tu. Anajua kutongoza kuna kukubaliwa au kukataliwa. Sasa inategemea ulimkatalia kwa mazingira gani. Mtu Anayekutongoza usimuone adui, mjibu tu kwa uzuri. Hata yeye angejua kama ungemkatalia asingekutongoza. Hivi kwa mfano angekuvutia ukamkubali ungekuja kumuanika humu. Maana umeanza kwa kumkashifu kuhusu tumbo lake lilivyokubwa, mpaka nikapata wasiwasi kwamba tumbo ndilo lililompoza, angekuwa na tumbo dogo pengine ungemkubali. Hata hivyo nakupa pole.
 
bado muda mchache tu kufika j4.... ngoja tusubiri mpambano tuone kama itavuka au haivuki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…