Nimehitimisha kwamba watu wasioamini uchawi upo hayajawakuta, na yakiwakuta huteseka bila kupona mpaka kifo

Uchawi ni kutumia uwezo usio wa kibinadamu ama nguvu za giza (supernatural power) katika kuathiri na kubadili matukio, kuwatawala watu, kuteka, kuvuruga na kuhilibu (manipulate), kusumbua, kutisha, kutesa, kudhuru, kuangamiza, au kuua.
The arts and practices of individuals who have formed compact with the Devil or with evil spirits, by whose supernatural powers and aid they are able to cause all sorts of injury to living beings and things.
 
PLEASE, SIKILIZA HADI MWISHO USHUHUDA HUU WA KUSTAAJABISHA SANA, UTAJIFUNZA KITU

 
Uchawi ni ufananishaji wa matukio mabaya kwa kumuunganisha adui yako na mabaya yanayokukuta
 
Uchawi ni kitu kipo kabisa, ni halisi; tena wala haina ubishi. Na upo katika viwango (grades) mbalimbali -- ni aina fulani ya taaluma ya nguvu za giza. Believe it or not.
Kama ulishaona mazingaombwe/viini macho basi jua uchawi upo.
 
Mkuu kama unaamini kuwa uchawi upo, basi vile vile uamini kuwa kuna nguvu, tena KUBWA SANA kuliko uchawi.
Nguvu hiyo iko ndani ya Yesu Kristo.
Hapo wachawi wanagwaya na kukimbia na wengine wengi tu hujisalimisha kwa NGUVU hiyo,
Mbembe Yesu Kristo moyoni mwako na uone kwa kshuhudia wachawi wakipagawa!
 
Hakuna asiyejua nguvu ya Muumba wa hii dunia ni kubwa mno, iwe katika jina la yesu au kwa kumwamini mtume mohamed.

Changamoto zake ni dhambi inayofifisha hii nguvu, dhambi kama uzinzi, ulevi, uongo, n.k ndio hurudisha watu nyuma na mbaya zaidi dunia ya sasa watu wanaona ni sifa kuwa mzinzi, mpigaji wa rushwa au wizi, kudanganya, n.k
 
Umenena kweli mkuu!
Mimi siwezi kujigamba kuwa mkamilifu maana kama binadamu wengine ni mdhaifu wa mwili, lakini nimeshuhudia ubaya ukiyeyuka mbele ya Nguvu hii kubwa ya Yesu.
 
Kuna banda niliwahi kupanga Jijini Dar wapangaji wenzangu tuliokuwa tumepanga pale miongoni mwao ni mama mmoja wa kiha ambaye alikua anaishi na wanae 3 wote walikua wakike, huo muziki tuliyopata hapo sio wa nchi hii, mpaka hivi sasa naandika kuna vitu bado vinaniandama nilivyofanyiwa na yule mama wa kiha

Nahitimisha kwa kusema si hayo tuu nimeshuhudia yapo mengi sana nashindwa niyaeleze vipi.
 
Kuna banda niliwahi kupanga Jijini Dar wapangaji wenzangu tuliokuwa tumepanga pale miongoni mwao ni mama mmoja wa kiha ambaye alikua anaishi na wanae 3 wote walikua wakike, huo muziki tuliyopata hapo sio wa nchi hii, mpaka hivi sasa naandika kuna vitu bado vinaniandama nilivyofanyiwa na yule mama wa kiha

Nahitimisha kwa kusema si hayo tuu nimeshuhudia yapo mengi sana nashindwa niyaeleze vipi.
 
Mimi sasa nina miaka 30+ . Sijawai kushuhudia tukio lolote la uchawi zaid ya labda kuona kwenye social media, video,Tv, etc.

Nimesoma shule za bweni jirani yangu analalamika kunigwaa mimi hata sikuwahi kusikia hata siku moja.

Natamani nishuhudie na mimi siku 1. Otherwise siamini kama uchawi upo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…