Wang chung
Member
- Oct 26, 2024
- 26
- 36
Asante kwa ushauriAnzisha kiduka genge kwenye kona yenye watu wengi.......weka juice zote maji etc ....mdogo mdogo....
Unataka umpigie Dogo wa watu tukio. Acha hizo bwana! π€£Mkuu, panda basi ushukie Mwanza Nyegezi. Ulizia bar ya Mpale, uje hapa na hiyo hela tujadili biashara huku tukiwa tunashushia Serengeti na mdudu, kufikia asubuhi mambo yashajipa
Chupi za kike na boxer za kiume zinalipa sanaMimi baada ya kumaliza chuo mwezi wa saba nimejaribu kuomba kazi maeneo mengi ila nimekosa kisa Sina uzoefu wa kazi.
Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu WanajamiiForums mnisaidie.
Je, ni biashara gani nzuri ambayo naweza kufanya nikiwa na mtaji wa laki tano?
Kijana anauliza jambo la msingi wewe unaleta mizaha ya kipuuzi, haifai!Mkuu, panda basi ushukie Mwanza Nyegezi. Ulizia bar ya Mpale, uje hapa na hiyo hela tujadili biashara huku tukiwa tunashushia Serengeti na mdudu, kufikia asubuhi mambo yashajipa
Sio mzaha mkuu, humu ndani ushauri ni mwingi sana, kila mtu atampatia ushauri kulingana na kile ambacho kimemjia kichwani kwake bila ya kujua kuwa biashara mdomoni ni nyepesi kuliko biashara yenyewe (matendo)Kijana anauliza jambo la msingi wewe unaleta mizaha ya kipuuzi, haifai!
Halafu asichukue chupi gaguro, atafute zile vyupi mdangio, itapendeza kama akitembeza chupi za kamba ama mnyororoChupi za kike na boxer za kiume zinalipa sana
Maisha ni kusaidizana mkuuπ€£ Si unajua tena pesa ni zetu sote kwa kuwa tu watoto wa baba mmoja, watoto wa Hayatiπ€£Unataka umpigie Dogo wa watu tukio. Acha hizo bwana! π€£
Ila we jamaa πππ.Karibu kitaa kijana! Kuna watu watakuambia Katoe zaka kanisani! Wengine nenda ukabeti! Wengine anzisha biashara ya kuuza supu na mishikaki na chipsi sehemu yenye msongamano lakini pasiwe pa kulipa kodi ya pango! Mwingine anzisha kijiwe cha tuisheni darasa la saba mpaka kidato cha sita! Mwingine anzisha ki_grocery uza sungura na vilevi wanavyovipenda walala hoi na weka TV kuangalia mechi kwa malipo japo hapa changamoto ni frame na ulinzi! Mwingine tafuta wataalam wa IT uanze kujifunza "code" mdogo mdogo isipokuwa changamoto uwe na laptop inayorun "iOS" kama "mac book aka apple"! Wengine watakuita uje pm! akili kichwani!
Sina elimu ya kubetiBeti
Kabla ya kupata ushauri....Mimi baada ya kumaliza chuo mwezi wa saba nimejaribu kuomba kazi maeneo mengi ila nimekosa kisa Sina uzoefu wa kazi.
Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu WanajamiiForums mnisaidie.
Je, ni biashara gani nzuri ambayo naweza kufanya nikiwa na mtaji wa laki tano?
Hayo uliyomshauri hapo ulipaswa uyaseme huko juu kuliko kumsihi aje baani.Sio mzaha mkuu, humu ndani ushauri ni mwingi sana, kila mtu atampatia ushauri kulingana na kile ambacho kimemjia kichwani kwake bila ya kujua kuwa biashara mdomoni ni nyepesi kuliko biashara yenyewe (matendo)
Nimempa huo ushauri nikiamini kuwa yeye ni mhitimu wa chuo kikuu, hivyo atumie elimu yake kung'amua biashara itakayomfaa pasi na kisikiliza porojo za watu wengine
Aanzie kwenye mtaa aliopo, aangalie biashara zipi zinakwenda kea kasi na je wafanyabiashara wa biashara husika wanastatus zipi kwenye familia zao, je wanaweza kumudu mahitaji ya familia?
Lakini habari za kusikiliza Anonymous Participants wa humu ndani kwa lengo la manufaa ya biashara ni uongo mkuu
Mungu akupe hitaji la moyo juice ya "miwa chief" kazi kwako kuuliza bei ya Ile machine hapo utafte eneo la watu weng kama ni daslam "Usione aibu" maana maisha ni yako hakuna mtu atakaekuuliza umekula au haujalaMimi baada ya kumaliza chuo mwezi wa saba nimejaribu kuomba kazi maeneo mengi ila nimekosa kisa Sina uzoefu wa kazi.
Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu WanajamiiForums mnisaidie.
Je, ni biashara gani nzuri ambayo naweza kufanya nikiwa na mtaji wa laki tano?