Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?

Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?


Angalia hapo, usiwe mvivu kusoma.....utapata vitu vya maana sana
 
Mimi baada ya kumaliza chuo mwezi wa saba nimejaribu kuomba kazi maeneo mengi ila nimekosa kisa Sina uzoefu wa kazi.

Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu WanajamiiForums mnisaidie.

Je, ni biashara gani nzuri ambayo naweza kufanya nikiwa na mtaji wa laki tano?
Karibu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
 
Mashine pekee milioni

Karibu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Mwanangu naomba nitoe testimony mimi niliamua kurudi bush mzee nikaachana na mambo ya daslam kweli nayaona matunda s Sawa na wanangu niliowaacha town Yan wao itabidi wanisalimie🤣Sema Tu Mungu ni mwema sifa na utukufu kwake minyororo ya fedha iko vZuri Ila kwa upande wangu mahusiano ndio hayakaa Sawa

Lakini pia asitegemee kupata hela once pale atakapowekeza "miezi Sita ndio ataanza kuona mwanga"
 
Karibu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Kweli mkuu ngoja nitafute shamba
 
Tafuta Machinjio ya MBUZI, fanya yafuatayo :-
1. Nunua vichwa vya mbuzi kwa 2500 - 3000/- kila kichwa
2. Andaa sehemu ya kupikia, ( Karibu na grocery/bar au sehemu yenye mkusanyiko)

3. Andaa Vifaa kama vile, sufuria kubwa, jiko, visu, bakuli, sahani.

4. Mahitaji, unga, chumvi, pili pili, nyanya, vitunguu, kiberiti, mkaa,

Maandalizi
Chukua kichwa cha mbuzi, kiandae ukiwa bado upo nyumbani ( koka moto wa kuni, choma vichwa hakikisha manyoya yote yanaungua, baada ya hapo tafuta sufuria kubwa vichemshe mpaka vinaiva kisawa sawa, ( kazi hii ifanyike asubuhi ikifika mchana kila kitu kiwe tayari,)

. Mida ya saa nane andaa sufuria ndogo ndogo kwa ajili ya ku roast vichwa vya mbuzi, ( nyanya, kitunguu, chumvi, pilipili ni mhimu, ) ( usiuze kichwa kama kilivyo unakiponda ponda kama ulojo fulani vile, Wataalam wa haya mambo waananielewa ninacho maanisha)

. Kichwa kimoja fanya elfu 6000 - 7000/- nusu kichwa fanya elfu 3000 - 4000/- plus ugali 4000 - 8000/-,

. Vichwa 5 × 2500 = 11500/-( gulioni)
. Baada ya kuuza 6000 × 5 = 30000/-
. Ugali 1000 matonge 10 =?

. NB: kwenye kila mteja atakaye kuja kuorder iwe nusu au Kichwa kizima hakikisha unapunguza nyama 2 au 3, mpaka unapata kichwa kingine cha ziada, ( hii utalipia nauli, kuni, chumvi na kitunguu), but Tamaa ni mbaya, ukigundulika wataje watahama wote.

. Mwisho Acha ubishoo na kupenda uliko zaliwa/toka..

Jumla ni laki 3, alafu unabakiwa na salio la laki 2 mfukoni
Asante kwa ushauri bro
 
Hayo uliyomshauri hapo ulipaswa uyaseme huko juu kuliko kumsihi aje baani.

Jamiiforums imesaidia wengi kutokana na michango chanya ya wanajamiiforums.

Tuheshimu shida za watu, tuwasaidie inapobidi ndiyo maana ya kuwamo humu jukwaani.
Duh! Na kweli mkuu, ila utani ni sehemu ya kiburudisho cha maisha

Nitajaribu kubadilika
 
Karibu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Hapa Pana Siri kubwa ila watu hawajui,ukiwa na akili kijijin unatoka kimaisha..laki5 ni pesa ndefu
 
Kweli mkuu ngoja nitafute shamba
Kabla ya Kutafuta hilo shamba ... hebu ongeza ongeza hako kaela kwanza ... Naona ili ufanye cha kueleweka huko shamba uwe na mtaji wa kutosha na Pesa ya kusurvive wakati wa kusubiria mazao
Au mna mashamba kwenu ?

Kwa mtaji huo fanyafanya umachinga au u winga , hebu fuatilia nyuzi za Machimbo kko upate idea ya bidhaa ukomae hapo , huku ukitunisha kamtaji

Kama huna aibu Kuna vibiashara vya hapa na pale simple na soko sio la kuumiza kichwa kihivyo mfano. Kukaanga na Kuchoma Kuku au mishikaki na ndizi N k Ili mradi upate kieneo chenye wapita njia au mishemishe
 
Tafuta Machinjio ya MBUZI, fanya yafuatayo :-
1. Nunua vichwa vya mbuzi kwa 2500 - 3000/- kila kichwa
2. Andaa sehemu ya kupikia, ( Karibu na grocery/bar au sehemu yenye mkusanyiko)

3. Andaa Vifaa kama vile, sufuria kubwa, jiko, visu, bakuli, sahani.

4. Mahitaji, unga, chumvi, pili pili, nyanya, vitunguu, kiberiti, mkaa,

Maandalizi
Chukua kichwa cha mbuzi, kiandae ukiwa bado upo nyumbani ( koka moto wa kuni, choma vichwa hakikisha manyoya yote yanaungua, baada ya hapo tafuta sufuria kubwa vichemshe mpaka vinaiva kisawa sawa, ( kazi hii ifanyike asubuhi ikifika mchana kila kitu kiwe tayari,)

. Mida ya saa nane andaa sufuria ndogo ndogo kwa ajili ya ku roast vichwa vya mbuzi, ( nyanya, kitunguu, chumvi, pilipili ni mhimu, ) ( usiuze kichwa kama kilivyo unakiponda ponda kama ulojo fulani vile, Wataalam wa haya mambo waananielewa ninacho maanisha)

. Kichwa kimoja fanya elfu 6000 - 7000/- nusu kichwa fanya elfu 3000 - 4000/- plus ugali 4000 - 8000/-,

. Vichwa 5 × 2500 = 11500/-( gulioni)
. Baada ya kuuza 6000 × 5 = 30000/-
. Ugali 1000 matonge 10 =?

. NB: kwenye kila mteja atakaye kuja kuorder iwe nusu au Kichwa kizima hakikisha unapunguza nyama 2 au 3, mpaka unapata kichwa kingine cha ziada, ( hii utalipia nauli, kuni, chumvi na kitunguu), but Tamaa ni mbaya, ukigundulika wataje watahama wote.

. Mwisho Acha ubishoo na kupenda uliko zaliwa/toka..

Jumla ni laki 3, alafu unabakiwa na salio la laki 2 mfukoni
Wahitimu wachache sn wachuo watakao kaa road kuuza vichwa vya mbuzi
 
Back
Top Bottom