Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mashine pekee milioniMungu akupe hitaji la moyo juice ya "miwa chief" kazi kwako kuuliza bei ya Ile machine hapo utafte eneo la watu weng kama ni daslam "Usione aibu" maana maisha ni yako hakuna mtu atakaekuuliza umekula au haujala
Karibu sana kakaMimi baada ya kumaliza chuo mwezi wa saba nimejaribu kuomba kazi maeneo mengi ila nimekosa kisa Sina uzoefu wa kazi.
Nimeamua kuja kuomba ushauri kwenu WanajamiiForums mnisaidie.
Je, ni biashara gani nzuri ambayo naweza kufanya nikiwa na mtaji wa laki tano?
Mashine pekee milioni
Mwanangu naomba nitoe testimony mimi niliamua kurudi bush mzee nikaachana na mambo ya daslam kweli nayaona matunda s Sawa na wanangu niliowaacha town Yan wao itabidi wanisalimie🤣Sema Tu Mungu ni mwema sifa na utukufu kwake minyororo ya fedha iko vZuri Ila kwa upande wangu mahusiano ndio hayakaa SawaKaribu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Kweli mkuu ngoja nitafute shambaKaribu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Asante kwa ushauri broTafuta Machinjio ya MBUZI, fanya yafuatayo :-
1. Nunua vichwa vya mbuzi kwa 2500 - 3000/- kila kichwa
2. Andaa sehemu ya kupikia, ( Karibu na grocery/bar au sehemu yenye mkusanyiko)
3. Andaa Vifaa kama vile, sufuria kubwa, jiko, visu, bakuli, sahani.
4. Mahitaji, unga, chumvi, pili pili, nyanya, vitunguu, kiberiti, mkaa,
Maandalizi
Chukua kichwa cha mbuzi, kiandae ukiwa bado upo nyumbani ( koka moto wa kuni, choma vichwa hakikisha manyoya yote yanaungua, baada ya hapo tafuta sufuria kubwa vichemshe mpaka vinaiva kisawa sawa, ( kazi hii ifanyike asubuhi ikifika mchana kila kitu kiwe tayari,)
. Mida ya saa nane andaa sufuria ndogo ndogo kwa ajili ya ku roast vichwa vya mbuzi, ( nyanya, kitunguu, chumvi, pilipili ni mhimu, ) ( usiuze kichwa kama kilivyo unakiponda ponda kama ulojo fulani vile, Wataalam wa haya mambo waananielewa ninacho maanisha)
. Kichwa kimoja fanya elfu 6000 - 7000/- nusu kichwa fanya elfu 3000 - 4000/- plus ugali 4000 - 8000/-,
. Vichwa 5 × 2500 = 11500/-( gulioni)
. Baada ya kuuza 6000 × 5 = 30000/-
. Ugali 1000 matonge 10 =?
. NB: kwenye kila mteja atakaye kuja kuorder iwe nusu au Kichwa kizima hakikisha unapunguza nyama 2 au 3, mpaka unapata kichwa kingine cha ziada, ( hii utalipia nauli, kuni, chumvi na kitunguu), but Tamaa ni mbaya, ukigundulika wataje watahama wote.
. Mwisho Acha ubishoo na kupenda uliko zaliwa/toka..
Jumla ni laki 3, alafu unabakiwa na salio la laki 2 mfukoni
Duh! Na kweli mkuu, ila utani ni sehemu ya kiburudisho cha maishaHayo uliyomshauri hapo ulipaswa uyaseme huko juu kuliko kumsihi aje baani.
Jamiiforums imesaidia wengi kutokana na michango chanya ya wanajamiiforums.
Tuheshimu shida za watu, tuwasaidie inapobidi ndiyo maana ya kuwamo humu jukwaani.
Hapa Pana Siri kubwa ila watu hawajui,ukiwa na akili kijijin unatoka kimaisha..laki5 ni pesa ndefuKaribu sana kaka
Ila umechelewa msimu wa kulima Wa mwezi wa 10-11 subiri wa mwezi wa Pili unatumia laki yako Moja tuu kukodi shamba Mbegu mbolea na kila kitu, Mimi nilianza kama wewe na mtaji wa laki 1 nikalima hekar 1 mahind sasa nalima hekar 9, Akili kichwanii ung'ang'anie Mjini au uingie porin
NB: Usitake 10,000 wakati hata Mia Hujaipata
Kabla ya Kutafuta hilo shamba ... hebu ongeza ongeza hako kaela kwanza ... Naona ili ufanye cha kueleweka huko shamba uwe na mtaji wa kutosha na Pesa ya kusurvive wakati wa kusubiria mazaoKweli mkuu ngoja nitafute shamba
Kuna kiduka kariakoo nilienda kununua boxer za uturuki na underwear za kike kidogo ndani ya dakika tano tayari yule muuzaji alishauza nguo za.ndani za shilingi laki na nusuChupi za kike na boxer za kiume zinalipa sana
Wahitimu wachache sn wachuo watakao kaa road kuuza vichwa vya mbuziTafuta Machinjio ya MBUZI, fanya yafuatayo :-
1. Nunua vichwa vya mbuzi kwa 2500 - 3000/- kila kichwa
2. Andaa sehemu ya kupikia, ( Karibu na grocery/bar au sehemu yenye mkusanyiko)
3. Andaa Vifaa kama vile, sufuria kubwa, jiko, visu, bakuli, sahani.
4. Mahitaji, unga, chumvi, pili pili, nyanya, vitunguu, kiberiti, mkaa,
Maandalizi
Chukua kichwa cha mbuzi, kiandae ukiwa bado upo nyumbani ( koka moto wa kuni, choma vichwa hakikisha manyoya yote yanaungua, baada ya hapo tafuta sufuria kubwa vichemshe mpaka vinaiva kisawa sawa, ( kazi hii ifanyike asubuhi ikifika mchana kila kitu kiwe tayari,)
. Mida ya saa nane andaa sufuria ndogo ndogo kwa ajili ya ku roast vichwa vya mbuzi, ( nyanya, kitunguu, chumvi, pilipili ni mhimu, ) ( usiuze kichwa kama kilivyo unakiponda ponda kama ulojo fulani vile, Wataalam wa haya mambo waananielewa ninacho maanisha)
. Kichwa kimoja fanya elfu 6000 - 7000/- nusu kichwa fanya elfu 3000 - 4000/- plus ugali 4000 - 8000/-,
. Vichwa 5 × 2500 = 11500/-( gulioni)
. Baada ya kuuza 6000 × 5 = 30000/-
. Ugali 1000 matonge 10 =?
. NB: kwenye kila mteja atakaye kuja kuorder iwe nusu au Kichwa kizima hakikisha unapunguza nyama 2 au 3, mpaka unapata kichwa kingine cha ziada, ( hii utalipia nauli, kuni, chumvi na kitunguu), but Tamaa ni mbaya, ukigundulika wataje watahama wote.
. Mwisho Acha ubishoo na kupenda uliko zaliwa/toka..
Jumla ni laki 3, alafu unabakiwa na salio la laki 2 mfukoni
Life ni ngumu sana kwa jobless wa miaka ya Sasa, kama mwanaume anachagua kazi, basi ujue yupo tayari kulelewa...Wahitimu wachache sn wachuo watakao kaa road kuuza vichwa vya mbuzi
Kuna kazi mkuu siwez fanya Ata kama ni jobless na wala nipo na silelewi mkuuLife ni ngumu sana kwa jobless wa miaka ya Sasa, kama mwanaume anachagua kazi, basi ujue yupo tayari kulelewa...
. Kama kazi gani mkuu..??Kuna kazi mkuu siwez fanya Ata kama ni jobless na wala nipo na silelewi mkuu
Wapotayari wawe mawinga kwny Maduka y cm n nguo hata km hakuna chochote wanachopata….Life ni ngumu sana kwa jobless wa miaka ya Sasa, kama mwanaume anachagua kazi, basi ujue yupo tayari kulelewa...
Kuna kazi mkuu siwez fanya Ata kama ni jobless na wala nipo na silelewi mkuu
Za kiwandani mkuu. Kama kazi gani mkuu..??
. Kazi halali zote zinazo ingiza kipato unafanya safi kabisa.. Ila ukitanguliza elimu uliyonayo lazima maisha yawe magumu tu.. 🙂 🙂