Nimehitimu chuo mwaka huu; mtaji wa Tsh. 500,000 naweza kufanya biashara gani?

Wapotayari wawe mawinga kwny Maduka y cm n nguo hata km hakuna chochote wanachopata….

Bt ukweli n kwamba hizi biashara tunazozidharau ndo huwa n faida Sn
. Ni kweli mkuu, hizi biashara ndogo ndogo ukitengeneza mnyororo, kiasi Fulani ukali wa maisha unapungua..

. Lakini vijana akili 80% wamewekeza kwenye kutembeza bahasha ya kuomba kazi, inafikia hatua hata hela ya kununulia maji na voucher anakosa.
 
FUNGUA PS HAPP KITAA CHEZESHEA HATA ROOM KWAKO
 
Viwanda vya wachina mzee
Aise tatizo la hao wachina na wahind ni unyanyasaji uliopitiliza ila kama mtu unajitafuta kwa muda si haba ila huo unyanyasaj ndo tatizo...mm nilishawah kuamka nikaacha kaz kwa muhind na sina kaz wala biashara na sjui kesho nakula nn kwasababu nilichoka ukatili wao.
 
Bora deiwaka za ujenzi au wale watembeza vyombo
 
Tafuta mtu akushike mkono kwenye biashara yake ukiwa mzoefu unaanzisha ya kwako kivingine kikubwa uwe muaminifu usiache maumivu kwa atakaekupokea
 
Biashara ya Genge labda
 
Viatu vya mtumba kwa Morogoro vinalipa sana
Pair moja nachagua kwa 3000
Sokoni nauza kwa 5000
Faida per pair ni 2000
Kwa siku unaeza uza hadi 30 hadi 40 prs
Faida per inafika hadi 100k + biashara siku hiyo ikiwa vizur na ikiwa vibaya faida haishuki chini ya 50k
 
Morogoro sehemu gani huko?
 
Kwa mtaji wa laki tano unaweza ukanunua mahindi vijijin mwez watano msimu wa mavuno debe Ef 6 ad ef 7 ,gunia la debe kumi hua haizid 60k kwa bei ya Iringa mwez wa tano. ko unaweza jumua gunia 4 kwa 240k.
Saga uza unga mjini. kila debe litakupo zaid ya 20k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…