Nimehukumiwa kunyongwa


Kila la kheri katika ' Kifo ' chako Mkuu na jitahidi ' Ufe ' vizuri.
 
Mkuu unamaanisha smart911 amepata kamchepuko??[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Unanyongwa kwa udenda au vuz*?
 
Huu ni ukurasa wa 4 sijaona kama kamtag shemeji kama kawaida yao na jamaa hata hajakomenti.
 
Hapa kuna shida yaani umeandika maneno yote bila kumuita Smart911!!!!! au ni drama kama kawaida ndo baadaye aje kukubembeleza eti usijinyonge Mahondaw maana nyie kwa drama ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…