Nimeibiwa ATRIUMS hotel Sinza.

Nimeibiwa ATRIUMS hotel Sinza.

Mkuu what goes arround always comes arround. Naye ishu ya camerione imemfunza kitu.
 
Pole bana, ndo yule jamaa anaejinadi kufundisha watu ujasiria mali?!!.. pole ndugu yetu siku nyingine nenda hotel zenye kutambulika na zenye ulinzi imara.

si ndio huyu huyu anayelalamikiwa na Dr. Chemelione wa Uganda kuwa kamnyakulia passport yake?? mbona jamaa sasa anaonekana kwenda ki wizi wizi??
 
Pole ndugu. Hotel zote za SINZA ni wezi wakubwa. Nyingine yaitwa manyara, nao wezi wakubwa. Kifupi hotel za Sinza zioogopwe kama ukoma. kama unataka kulizwa hotelini fikia hoteli za Sinza ni wezi wakubwa. Aibu zao
 
Nilikuwa Dar Es Salaam kwa muda wa week moja, nilikaa Atriums Hotel na nikaibiwa night ya nne, niliibiwa chumbani usiku wa saa 3 wakati nikiwa restaurant nakula hapo hapo hotelini... Niliibiwa digital camera 2, na simu aina ya HTC, na pesa taslim usd 2300.., mbaya zaidi mmiliki wa hotel anaitwa Erik Shingongo alifika hapo hotelin baada ya kupigiwa sim na meneja wake ndugu Sunday nilieripoti wizi huo muda huo huo. Shigongo aliniambia kuwa anawajua wezi nimpe muda wa saa 3 atarudisha vitu vyangu, baada ya masaa 3 kupita alikuja tena akiwa na maaskari 3 toka kituo cha polis kijitonyama na wakanitaka kutoa maelezo., na wakati huo, ikiwa saa 7 usiku shigongo aliniambia kuwa tayari kesha washika wezi wanne ambao ni wafanyakazi wa hotelini hapo HIVYO nitulie nitapata mali zangu.Nimesubiri bila mafanikio, nikapewa maelekezo ya kumwona RCO wa osterbay, kamanda Wambura ambae alitoa maagizo ya kuwepo mkutano kati yangu na shigongo na meneja wake bwana sunday, mkutano ufanyike ofisin kwa rco ili tuweze kukubaliana namna ya kurudisha vitu nilivyoibiwa. Shigongo hakutokea, meneja wake alifika na akiwa amepewa na maagizo na Shigongo kuwa msimamo wa hotel ni kutolipa au kutoa fidia ya aina yeyote, kuwa wao kama hotel wanaona ilikuwa ni kosa langu kwenda hotelin ATRIUMS. na pia alisema hakuna wa kumfanya lolote Tanzania hii hata nikiripoti kwa RPC, RCO akaridhia na akaniambia hana la kufanya na sheria haimpi nafasi ya kumbana shigongo.
hiyo ndo ilikuwa final na kesi ikafungwa, Tanzania ya watanzania raia hana haki, hadi polis wanaubariki wizi na kuutetea, pale ATRIUMS ni kichaka cha kufuga wezi, mwizi namba moja akiwa Erik Shigongo. namba 2 meneja wake na namba 3 team yake ya wafanyakazi, Kuweni makini msiumie kama mimi.
HAHAHAAAAAA WAMEKUFANYIA MAJARIBIO YA UJASIRIAMALIIIII HAHAHAAAAA

SIJUI NTAKUWA NAWATETEA AMA N MGENI NISAMEHE

UKIINGIÀ HOTEL YOYOTE SIKUHIZI HATA GUEST HOUSE WAMEANDIKA ANDIKISHA MALI ZAKO WAPE RECEPTION

HUYO SHIGO SIMJUI LAKINI SI FALA KUTOONEKANA ANAJUA ULIPOKOSEA MPWA

POLESANA INAWEZEKANA ULIAMINI SHIGONGO ZAIDI KAMA MMILIKI KULIKO KUAMINI UNACHOTAKIWA KUFANYA

NENDA HATA MOMBASA GUEST HOUSE MNAZOZIKIMBIA NAKUVAMIA HOTEL KUBWA.
RECEPTION MAKARATASI MAWILI HAKIKISHA U AKABIDHI MALIZAKO RECEPTION..NA UNAPEWA NA DOCS WAMEPOKEA SIO CONDOM

ASBH HATA MMILIKI AKIITWA UKIWA NA KARATASI IMEKULA KWAKE ATAKULIPA TU HATA KWAHAJA ....
 
HUYU ATAKUWA KALIZWA NA MIZIGO YETU YA HUDUMA KWA WATEJA KULE BARABARANI LAAMANA AKUMBUKE SURA

AKUMBUKE WA MWISHO KULALA NAE

NDIOMAANA TUNASISITIZA DAILY KIFUA KISIKAE MAKWAPANI MWA WALE MAHARAMIA WANA DAWA KANDAMIZI ZA KULEVYA WANAWEKA MAKWAPANI

TUNASISITIZA MNAONYONYA VIRUTUBISHO VYA MAZIWA PALE JUU WANAWEKAGA MADA WA YA KULEVYA KWENYE CHUCHU


NA SIKUHIZI WAMEJUA WANAPENDA KUNYONYA UCHI WENGI BASI WAMEAMUA KUPAKA NA MADAWA PANDE HIZO ULIZA ANATOKEA WAPI

Pole ndugu. Hotel zote za SINZA ni wezi wakubwa. Nyingine yaitwa manyara, nao wezi wakubwa. Kifupi hotel za Sinza zioogopwe kama ukoma. kama unataka kulizwa hotelini fikia hoteli za Sinza ni wezi wakubwa. Aibu zao
 
Jamani ndugu zangu, hebu acheni kuwa watu wakusukumwa na kila mtu akiwemo huyu mkunga, kama uliibiwa nenda kaweke mwanasheria acha ubahili persue hiyo kesi hata miaka 100 people are getting away with murder, yaani unaweka na kupokea hela za wateja halafu unasema huwajibiki na wao kuibiwa hotelini kwako? hata mgeni anayetutembelea majumbani kwetu tunawajibika juu ya upotevu wa mali zao na usalama wao wakiwa ndani kwetu, kwa hiyo ukiwa hapo hotelini ukaingiliwa na kuumizwa ama kuuawa bado hutaki kuwa responsible?, hivi kweli kwa nini tuna simplify maisha yetu hivi? mnataka kuniambia kuna authority inayotoa kibali shigongo afungue hoteli lakini asiwe responsible for mali na maisha ya wateja wake? sasa hii ni hoteli ama machinjio? Nakataa kabisa hakuna mahali penye sheria kama hizi, ni sisi watanzania na upumbavu wetu kama tunaoufanya hapa tunaohalalisha ushenzi wa watu wenye vijisenti kama hivi, hebu weka wanasheria waulize, kwa hiyo hao askari hapo wanafanyanini? ama wanamlinda yeye mwenyewe na vitu vyake? tusijibweteke hela ulizoibiwa na mali ni kubwa sana weka nusu ya hizo mpeleke mahakamani hata kama anamamilioni ashughulikiwe hii haikubaliki
....Naunga mkono hoja. Hata kama ikatokea akakushinda, lakini utakuwa umempa jambajamba ya kumpa headache!
...ndio hivi tunavyowachekea na kuwalegezea wale wamiliki wa mabasi ambao tiketi za mabasi yao ximeandikwa 'Abiria chunga mzigo wako. Ukipotea hatuhusiki'...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa Dar Es Salaam kwa muda wa week moja, nilikaa Atriums Hotel na nikaibiwa night ya nne, niliibiwa chumbani usiku wa saa 3 wakati nikiwa restaurant nakula hapo hapo hotelini... Niliibiwa digital camera 2, na simu aina ya HTC, na pesa taslim usd 2300.., mbaya zaidi mmiliki wa hotel anaitwa Erik Shingongo alifika hapo hotelin baada ya kupigiwa sim na meneja wake ndugu Sunday nilieripoti wizi huo muda huo huo. Shigongo aliniambia kuwa anawajua wezi nimpe muda wa saa 3 atarudisha vitu vyangu, baada ya masaa 3 kupita alikuja tena akiwa na maaskari 3 toka kituo cha polis kijitonyama na wakanitaka kutoa maelezo., na wakati huo, ikiwa saa 7 usiku shigongo aliniambia kuwa tayari kesha washika wezi wanne ambao ni wafanyakazi wa hotelini hapo HIVYO nitulie nitapata mali zangu.Nimesubiri bila mafanikio, nikapewa maelekezo ya kumwona RCO wa osterbay, kamanda Wambura ambae alitoa maagizo ya kuwepo mkutano kati yangu na shigongo na meneja wake bwana sunday, mkutano ufanyike ofisin kwa rco ili tuweze kukubaliana namna ya kurudisha vitu nilivyoibiwa. Shigongo hakutokea, meneja wake alifika na akiwa amepewa na maagizo na Shigongo kuwa msimamo wa hotel ni kutolipa au kutoa fidia ya aina yeyote, kuwa wao kama hotel wanaona ilikuwa ni kosa langu kwenda hotelin ATRIUMS. na pia alisema hakuna wa kumfanya lolote Tanzania hii hata nikiripoti kwa RPC, RCO akaridhia na akaniambia hana la kufanya na sheria haimpi nafasi ya kumbana shigongo.
hiyo ndo ilikuwa final na kesi ikafungwa, Tanzania ya watanzania raia hana haki, hadi polis wanaubariki wizi na kuutetea, pale ATRIUMS ni kichaka cha kufuga wezi, mwizi namba moja akiwa Erik Shigongo. namba 2 meneja wake na namba 3 team yake ya wafanyakazi, Kuweni makini msiumie kama mimi.

Kuibiwa vitu chumbani ni kosa lako na hauna cha kumfanya ni ukweli,akulipe ulimakidhi
 
Back
Top Bottom