tulivokubaliana kua friends ulisema utaoffer money sometimesπ
hawa introverts kina Palina ni wagumu sana notes nimefungia kabatini πhaha vipi sasa twende out this weekend beach moja imetulia tubonge kuhusu maishaπ
endelea kupambana usikate tamaa , masharti yangu si unayajua lakini πππnakunyemelea π
kuna shortcut naijua πendelea kupambana usikate tamaa , masharti yangu si unayajua lakini πππ
Nimesikia mshamba_hachekwinjooni mtoe ushuhusa hapa Leejay49
Binadamu Mtakatifu
Depal
Half american
mshamba_hachekwi
Mwachiluwi
Ms eyes
Lloyd Munroe
who is the master of Minions πView attachment 2623980
Hahahahahahahahahahahaha mkuu naona umeamua kunianika sasa. Niko poa sana sijui upande wako na familia kiujumla.vipi Ommy uko poa ndugu?
Nikupe mchongo mzeemaisha magumu mwanangu acha tuvute sikuπ
we jichanganye tuππππkuna shortcut naijua π
huwezi jua unatengeneza connection na mtu mzito hapaπMimi huyu, nilivo na upare wa kurithi πππ utapata taabu mno eti
Awapi usinitishe πππhuwezi jua unatengeneza connection na mtu mzito hapaπ
anataka wanaume wenye ngozi nyeupe πKwa hiyo Palina hataki kupendwa?π
Unga mzeeNipe mchongo mrefu tupige hela chafu. Always available π
isije kuwa kubet