Nimeibiwa ID identity

Nimeibiwa ID identity

ID zenye umaarufu humu ndizo zinazofanyiwa manuever. Wapo members waliolalamika kuigwa, we una umaarufu gani humu ikiwa hatuoni mada zako zenye kutufanya tuvutiwe nawe ?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
endelea kupambana usikate tamaa , masharti yangu si unayajua lakini 😌😌😎
ef55a9d0c4553bff-600x338.jpg
 
Hahahahahahahahahahahaha mkuu naona umeamua kunianika sasa. Niko poa sana sijui upande wako na familia kiujumla.
hahaha familia iko poa kabisa😊 nitakuja kukuchek pm mida
 
Back
Top Bottom