Nimeibiwa ID identity

Impersonification is illegalised in JF.Huyu jamaa achukuliwe hatua za kisheria
 
Umekosea kuandika ni kwa lakyundu😀
Sasa pale ndio mji mkubwa alipotokea babu yangu mimi napanda juu huko msituni (msudu) nimepakana na hibachi ya mlima Kilimanjaro 😀
Wacha wee.
Sasa Maliasili watakuwa wameshamjua anaewashaga moto mlima wetu
 
Wacha wee.
Sasa Maliasili watakuwa wameshamjua anaewashaga moto mlima wetu
alaaa mimi serikali inanijua mzee kwanza hata ukiniona hutokubali kama ni mimi😄
mlipa kodi mzuri ndio maaana sina haja ya kuficha natokea wap😃
 
alaaa mimi serikali inanijua mzee kwanza hata ukiniona hutokubali kama ni mimi😄
mlipa kodi mzuri ndio maaana sina haja ya kuficha natokea wap😃
Unaspin ajenda Eeeh.
Nakwambia taarifa ya kuwa Sha moto imempata mhusika halali.
 
Unaspin ajenda Eeeh.
Nakwambia taarifa ya kuwa Sha moto imempata mhusika halali.
aisee nlichelew kuanka kipindi kile watu walipiga sana kwa kutata miti msituni. .

mwaka jana nimetengeneza mizinga yangu 30 nikasema naiweka msituni. Dah kweli ng'ombe wa masikin Hazai. Marufuku ya kuingia msituni umenitia hasara kubwa😟
 
Kabla sijamaliza kusoma nimecheka na hizi animations 😂😂 Wewe ni MKALI😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…