Nimeibiwa ID identity

Nimeibiwa ID identity

Umekosea kuandika ni kwa lakyundu😀
Sasa pale ndio mji mkubwa alipotokea babu yangu mimi napanda juu huko msituni (msudu) nimepakana na hibachi ya mlima Kilimanjaro 😀
Wacha wee.
Sasa Maliasili watakuwa wameshamjua anaewashaga moto mlima wetu
 
Wacha wee.
Sasa Maliasili watakuwa wameshamjua anaewashaga moto mlima wetu
alaaa mimi serikali inanijua mzee kwanza hata ukiniona hutokubali kama ni mimi😄
mlipa kodi mzuri ndio maaana sina haja ya kuficha natokea wap😃
 
alaaa mimi serikali inanijua mzee kwanza hata ukiniona hutokubali kama ni mimi😄
mlipa kodi mzuri ndio maaana sina haja ya kuficha natokea wap😃
Unaspin ajenda Eeeh.
Nakwambia taarifa ya kuwa Sha moto imempata mhusika halali.
 
Penkyu fyo shaling in minions voice
dfbhi1s-6ea724da-29a5-4156-bb54-55ddf9a47cd5.png
 
Unaspin ajenda Eeeh.
Nakwambia taarifa ya kuwa Sha moto imempata mhusika halali.
aisee nlichelew kuanka kipindi kile watu walipiga sana kwa kutata miti msituni. .

mwaka jana nimetengeneza mizinga yangu 30 nikasema naiweka msituni. Dah kweli ng'ombe wa masikin Hazai. Marufuku ya kuingia msituni umenitia hasara kubwa😟
 
samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu.
bluepixelanimations-r4.jpg


Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why?
hqdefault.jpg


My name is Gily. The only super villain and master of Minions..
despicable-me-felonious-gru-ryzihh6awfpts8da.jpg
Kabla sijamaliza kusoma nimecheka na hizi animations 😂😂 Wewe ni MKALI😂😂
 
Back
Top Bottom