Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
😂😂😂 Emu eleza kwa upana kwanini Pumbavu na isiwe Mjinga? N.kPumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Emu eleza kwa upana kwanini Pumbavu na isiwe Mjinga? N.kPumbavu
Mdogo wangu kila chocho upo kwani vipi unanidai? Anyway njoo PM tusome wotemaliza kwanza kusoma dogo 😂
mimi nasoma masaa 2 kabla ya pepaMdogo wangu kila chocho upo kwani vipi unanidai? Anyway njoo PM tusome wote
Sisi ndio wa kujilipua naingia na cm plus nondo za kutosha mixer matatuuu ya majibumimi nasoma masaa 2 kabla ya pepa
Swali kama hili nilijua lazima liwepo hata mimi nimejiuliza hivyo kichwani asante kwa kuulizaUmri wako pls![emoji18]
Unajichetua sio 👽👽👽
huu uzi ufutwe nimeandika upuuzi sanaJapo nimechelewa kujibu napokea pole