Nimeibiwa Iphone haijafunguliwa kwenye box lake.

Nimeibiwa Iphone haijafunguliwa kwenye box lake.

Wataalamu, hii imekaaje? Jamaa wameniotea simu mpya kabisa, haijafunguliwa kwenye box lake muuzaji aliniandikia risit ya mashine hakuweka imei. Nikirudi wanaweza kunisaidia? Au hapa wataalamu mnashauri nifanyeje? Msaada!
Umeibiwajeee???
 
Back
Top Bottom