Nimeibiwa kwenye account yangu ya benki?

Nimeibiwa kwenye account yangu ya benki?

Aisee sizingui mtu, nafikiria kufunga Account kabisa sasa

atm machine nyingi zina camera, wewe jaza fomu ili wafuatilie siku na mda husika pesa ilipotolewa then wataingia kwa camera kuona mtu aliyehusika na uwizi huo.
 
Back
Top Bottom