Nimeibiwa milioni 5 nilizokuwa naficha ndani, naishi na mke wangu kwenye nyumba ya familia

Akili yako unaijua MWENYEWE
Nenda mvuti kuna MTAALAMU hatari
 
Wewe ndo unatafutwa na anko, unaweka hela zote hizo ndani rafiki, kwa usawa huu jamanii!!! Pole zile TV asilia huwa zinaonyesha yule unayemuwaza hata kama siye.
Cc: Mshana jr
 
Sasa nikusadieje kwa mfano. Mkamate mke wako ndo mwix namba moja loo
 
Khee mbona jazba sasa tena jamani?
 
unawezaje kuweka pesa kwenye nyumba ya watu wengi?
 
Hapo ndipo utaona umuhimu wa BANK
Cha kufanya, omba kikao cha wote hapo cku ya jumamosi au jumapili, hakikisha wote wapo
Waelezee jinsi ulivo-hasle kupata hiyo ela, waambie live haupo tayari kupoteza kirahisi namna ile
Aliyechukua kama ni mke au yeyote ajisalimishe ndani ya cku mbili
Baada ya hapo isipopatikana kitakachompata mtu........ajskulaumu
Mtafute mshana akupe mwongozo
 
Kama nimeisoma hii thread mwanzo mwa wiki hii, mbona imejirudia? au majibu hayakuridhisha umeamua ku re-write
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…