Nimeibiwa Ng'ombe 10 Kisiju

Nimeibiwa Ng'ombe 10 Kisiju

Hatimae wana kisiju wamekunyoosha vilivyo, wewe si ulienda kisiju kuhesabu misikiti sasa wahesabu ng'ombe.
 
Mifugo yangu yote nimeizindika na atakaye iba tu analo, pia atakayekula nyama yake analo, mwendo wa kikamanda tu, sitaki loss.
-Sifugii wezi kbbk
-Sisi wafugaji hatatukifika vingunguti tukiangalia ngombe tunajui, ogopa kula ngombe mkorofi yule anayekimbia ovyo!
Please naomba namba yako kama unajua jinsi ya kuzindika mifugo
 
Panda basi mpaka Sumbawanga. Ukifika panda Costa hadi Namanyere, ukifika uliza mtaa wa Nkomolo kwa Mzeee Mwanawima. Hapo utakua tayari una zana za Watesi wako Wachape Radi ya Afu tatu tuuu ya kubomoa nyumba zao na mali zao. Wataaanza kukutafuta wenyewe kulipa Ng'ombe wako
Mzee nakuomba namba yako ikiwezekana nisaidie wezi wananifilisi kila siku
 
Hao ni wagogo wale jamaa dakika kumi nyingi unakuta wamechinja wamekuachia utumbo na kichwa ..waliina sana kwetu kigamboni wakakamatwa ni wagogo ndo michezo yao
 
Kuna waliokuja kuiba Ng'ombe wiki ilopita walidhani ni WA kuokota sasa yule aletangulia aliingizwa pembe kwenye jicho (usiulize jicho lipi) nikasikia vishindo vya wenzie wakikimbia nami nikakausha kama sijui chochote Hadi asubuhi nikamalizana nae kimyakimya bongo pesa haipatikani kizembe labda Kwa wanasiasa lakini huku chino lazima tuadabishane
 
Huko mkoa wa pwani, Nilibiwa na wali wachinja ng'ombe watano wa maziwa. Aysee asubuhi nilitalifiwa hata kzn sikwenda...
Mungu mkubwa sasa wale ndama walio achwa ni wakubwa na maisha yanaendelea...
 
Back
Top Bottom